Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Faida za kula maini
1. Husaidia katika kuipa miili yetu nguvu za kutosha
2. Huboresha afya ya ngozi
3. Huimarisha afya ya mifupa
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
5. Husaidia kuboresha afya ya ubongo
6. Ni chakula kizuri kwa ukuaji wa misuli
7. Huondoa sumu mwilini
8. Huuoa nguvu mfumo wa kinga
9. Hulinda mwili dhidi ya saratani
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...