Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Makala hii inakwenda kukuletea dalili za upungufu wa vitamini c mwilini. Dalili hizo ni kama:-
1.Kupata ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)
2.Kutokwa na damu kwenye mafinzi
3.Mwili kushindwa kupambana na maambukizo ya mara kwa mara
4.Kuchelewa kupona kwa vidonda na majeraha
5.Kukauka na kukatika kwa nywele
6.Kupata majeraha na michubuko kwa urahisi
7.Kuvimba kwa mafinzi
8.Kutokwa na damu za pua
9.Kuongezeka kwa uzito
10.Ngozi kukauka na kupauka ama kufujaa kwa ngozi
11.Kuvimba kwa viungio na maumivu ya viungio
12.Udhaifu wa gamba gumu la meno.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...