Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Makala hii inakwenda kukuletea dalili za upungufu wa vitamini c mwilini. Dalili hizo ni kama:-
1.Kupata ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)
2.Kutokwa na damu kwenye mafinzi
3.Mwili kushindwa kupambana na maambukizo ya mara kwa mara
4.Kuchelewa kupona kwa vidonda na majeraha
5.Kukauka na kukatika kwa nywele
6.Kupata majeraha na michubuko kwa urahisi
7.Kuvimba kwa mafinzi
8.Kutokwa na damu za pua
9.Kuongezeka kwa uzito
10.Ngozi kukauka na kupauka ama kufujaa kwa ngozi
11.Kuvimba kwa viungio na maumivu ya viungio
12.Udhaifu wa gamba gumu la meno.
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...