Menu



Faida za kula mayai

Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.

Faida za kula mayai.

1. Utunza shibe.

Kwa kawaida ukila mayai wakati wa asubuhi kuna faida kubwa ya kupata protini pamoja na kutohisi njaa mapema kwa mfano ukitumia mayai asubuhi unaweza kufika saa sita bila kuhisi njaa.

 

2. Upunguza uzito.

Kuna wataalamu ambao wanasema kuwa wanaotumia mayai kila siku uzito wao ni wa kawaida na kwa wale wanaopenda kupunguza uzito wanashauriwa kutumia mayai kwa wingi ili waweze kuwa wa kawaida.

 

3. Hayaongezi uzito.

Kwa kawaida mayai hayana mafuta na ila yana wingi wa protini kwa hiyo sio hatarishi kwenye mwili kwa sababu hayaongezi mafuta yoyote mwilini.

 

4. Uongeza kiasi cha kukua kwa ubongo.

Kwa wale wanaotumia sana mayai wana kiasi kikubwa cha kukua kwa ubongo na pia wana uwezo wa kuwa na kumbukumbu nzuri hata wakiwa kwenye umri wa uzee.

 

5. Ulinda macho 

Kwa kawaida kwenye macho kunahitajika kiasi cha protini kwa watumiaji wa mayai wana kiwango kikubwa cha kuwa na macho imara pia na kwa wale wanaotumia mayai tangua udogo wao ni mara chache kwa na matatizo ya macho.

 

6. Usaidia katika kukua 

Kwa kawaida na mayai yana kiwango kikubwa cha protini kwa hiyo usaidia katika ukuaji hasa kwa watoto kwa hiyo wazazi wanapaswa kuwapatia watoto mayai angalau mtoto apate mayai matatu kwa wiki.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2231

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Asili ya vyakula vya madini ya zinki

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...