Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
1. Kama tulivyokwisha kuona kwamba homoni imbalance ni hatari kwa wanawake ambapo uweza kuleta matatizo kama hakuna matibabu kwa hiyo tutatumia mdalasini Ili kuweza kutengeneza dawa hiyo.
2. Chukua mdalasini twanga, na pia chukua tangawizi nayo twanga na acha yote ikauke tofauti tofauti.
3. Chukua kijiko kidogo cha mdalasini na kidogo cha tangawizi na weka kwenye maji ya uvuguvugu kwenye nusu Lita.
,4. Ongeza kijiko cha asali kwenye mchanganyiko .
5. Kunywa hasa kwa wale wenye matatizo ya kuumwa tumbo wakati wa siku zao
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/07/17/Sunday - 03:14:49 pm Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1174
Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Madrasa kiganjani