Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
1. Kama tulivyokwisha kuona kwamba homoni imbalance ni hatari kwa wanawake ambapo uweza kuleta matatizo kama hakuna matibabu kwa hiyo tutatumia mdalasini Ili kuweza kutengeneza dawa hiyo.
2. Chukua mdalasini twanga, na pia chukua tangawizi nayo twanga na acha yote ikauke tofauti tofauti.
3. Chukua kijiko kidogo cha mdalasini na kidogo cha tangawizi na weka kwenye maji ya uvuguvugu kwenye nusu Lita.
,4. Ongeza kijiko cha asali kwenye mchanganyiko .
5. Kunywa hasa kwa wale wenye matatizo ya kuumwa tumbo wakati wa siku zao
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...