Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
1. Kama tulivyokwisha kuona kwamba homoni imbalance ni hatari kwa wanawake ambapo uweza kuleta matatizo kama hakuna matibabu kwa hiyo tutatumia mdalasini Ili kuweza kutengeneza dawa hiyo.
2. Chukua mdalasini twanga, na pia chukua tangawizi nayo twanga na acha yote ikauke tofauti tofauti.
3. Chukua kijiko kidogo cha mdalasini na kidogo cha tangawizi na weka kwenye maji ya uvuguvugu kwenye nusu Lita.
,4. Ongeza kijiko cha asali kwenye mchanganyiko .
5. Kunywa hasa kwa wale wenye matatizo ya kuumwa tumbo wakati wa siku zao
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...