image

Namna ya kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba.

Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.

Namna ya kuandaa mdalasini kama tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.

1. Kama tulivyokwisha kuona kwamba homoni imbalance ni hatari kwa wanawake ambapo uweza kuleta matatizo kama hakuna matibabu kwa hiyo tutatumia mdalasini Ili kuweza kutengeneza dawa hiyo.

 

2. Chukua mdalasini twanga, na pia chukua tangawizi nayo twanga na acha yote ikauke tofauti tofauti.

 

3. Chukua kijiko kidogo cha mdalasini na kidogo cha tangawizi na weka kwenye maji ya uvuguvugu kwenye nusu Lita.

 

,4. Ongeza kijiko cha asali   kwenye mchanganyiko .

 

5. Kunywa hasa kwa wale wenye matatizo ya kuumwa tumbo wakati wa siku zao 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1366


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kisamvu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E Soma Zaidi...

Faida za ukwaju (tamarind)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju Soma Zaidi...

Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai
Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo. Soma Zaidi...

Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo, Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula tunda pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera Soma Zaidi...

Faida za chungwa na chenza ( tangarine)
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini Soma Zaidi...

Faida za kula Ukwaju
Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako Soma Zaidi...

VYAKULA VYENYE PROTINI KWA WINGI
hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nyanya
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Soma Zaidi...