Faida za kiafya za kula Kunazi

Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
- husaidia katika kupunguza maumivu
- Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
- Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
- Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
- Husaidia kurefresh mwili
- Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
- Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
- Husaidia katika afya ya hedhi
- Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
- Husaidia katika kushusha joto la mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
VYAKULA VYA VITAMINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini
Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Faida za kula magimbi (taro roots)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...