Faida za kiafya za kula Kunazi

Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
- husaidia katika kupunguza maumivu
- Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
- Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
- Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
- Husaidia kurefresh mwili
- Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
- Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
- Husaidia katika afya ya hedhi
- Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
- Husaidia katika kushusha joto la mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
👉1 ai web app 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito
Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO
Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Rangi za majimaji yanayotoka kwenye uke na maana yake kiafya
Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...