picha

Faida za kiafya za kula Kunazi

Faida za kiafya za kula Kunazi



Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)

Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.

 

  1. husaidia katika kupunguza maumivu
  2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
  3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
  4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
  5. Husaidia kurefresh mwili
  6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
  7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
  8. Husaidia katika afya ya hedhi
  9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
  10. Husaidia katika kushusha joto la mwili

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2746

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za kula uyoga

Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.

Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Faida za kula embe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...