Sababu za kuwa na fangasi ukeni

Sababu za kuwa na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Sababu za maambukizi ya fangasi ukeni

1.Matumizi ya antibiotics

Kwenye mwili wa binadamu Kuna bakteria ambao ni wazuri na utukinga na maradhi lakini tujue kuwa kazi ya antibiotics ni kuwa bakteria ambao usababisha maambukizi pengine antibiotics uua na bakteria ambaye ulienda mwili wa binadamu na kusababisha madhara ya kuingia kwa fangasi ukeni.

 

2.Matazizo ya homone

Wakati mwingine homoni ubadilika katika kufanya kazi yake hasa kwenye via vya uzazi na kusababisha madhara ya kubadili pH ya kwenye uke hali ya kubadilika kwa pH kwenye uke usababisha maambukizi na fangasi ushambulia uke.

 

3.Kufanya mapenzi na mtu mwenye fangasi,

Hii utokea pale mtu mwenye fangasi anapofanya mapenzi na mtu asiye na fangasi,kwa hiyo fangasi kutoka kwa mtu mwingine na kwenda kwa mwingine na wasipotibiwa wanaweza kuambukizwa na watu wengine.

 

4. Kushuka kwa kinga ya mwili

Kwa kawaida tunajua kuwa kinga ya mwili ikishuka kila ugonjwa unyemelea kwa hiyo kinga ya mwili ikishuka usababisha maambukizi kwenye uke ambapo fangasi uanza kuamka na kushambuliwa sehemu za Siri na kuleta madhara makubwa kwa watu wenye upungufu wa kinga mwilini.

 

5. Kutumia sana vyakula vyenye sukari

Vyakula vyenye sukari kama vile, pipi, chocolate, sukari nyingi kwenye vinywaji, soda navyakula vyote vyenye sukari vikitumiwa kwa kiwango kikubwa usababisha mwili wote kujaa sukari na wadudu uenea sana kwenye eneo lile hasa fangasi uenea kwenye uke

 

6. Kuosha sana sehemu za Siri 

Kitendo Cha kuosha sana sehemu za Siri hasa kwa kutumia sabuni zenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri na kubakiza hawa wanaosababisha magonjwa  na wanakuwa  na kuongezeka kwa hiyo maambukizi yanakuwa mengi zaidi.kwa hiyo tunapaswa hi kuacha kutumia vipodozi vikali kuoshea sehemu za Siri.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1600

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kitunguu maji
Faida za kiafya za kitunguu maji

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji

Soma Zaidi...
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake

Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...
Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...