Sababu za kuwa na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.

Sababu za maambukizi ya fangasi ukeni

1.Matumizi ya antibiotics

Kwenye mwili wa binadamu Kuna bakteria ambao ni wazuri na utukinga na maradhi lakini tujue kuwa kazi ya antibiotics ni kuwa bakteria ambao usababisha maambukizi pengine antibiotics uua na bakteria ambaye ulienda mwili wa binadamu na kusababisha madhara ya kuingia kwa fangasi ukeni.

 

2.Matazizo ya homone

Wakati mwingine homoni ubadilika katika kufanya kazi yake hasa kwenye via vya uzazi na kusababisha madhara ya kubadili pH ya kwenye uke hali ya kubadilika kwa pH kwenye uke usababisha maambukizi na fangasi ushambulia uke.

 

3.Kufanya mapenzi na mtu mwenye fangasi,

Hii utokea pale mtu mwenye fangasi anapofanya mapenzi na mtu asiye na fangasi,kwa hiyo fangasi kutoka kwa mtu mwingine na kwenda kwa mwingine na wasipotibiwa wanaweza kuambukizwa na watu wengine.

 

4. Kushuka kwa kinga ya mwili

Kwa kawaida tunajua kuwa kinga ya mwili ikishuka kila ugonjwa unyemelea kwa hiyo kinga ya mwili ikishuka usababisha maambukizi kwenye uke ambapo fangasi uanza kuamka na kushambuliwa sehemu za Siri na kuleta madhara makubwa kwa watu wenye upungufu wa kinga mwilini.

 

5. Kutumia sana vyakula vyenye sukari

Vyakula vyenye sukari kama vile, pipi, chocolate, sukari nyingi kwenye vinywaji, soda navyakula vyote vyenye sukari vikitumiwa kwa kiwango kikubwa usababisha mwili wote kujaa sukari na wadudu uenea sana kwenye eneo lile hasa fangasi uenea kwenye uke

 

6. Kuosha sana sehemu za Siri 

Kitendo Cha kuosha sana sehemu za Siri hasa kwa kutumia sabuni zenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri na kubakiza hawa wanaosababisha magonjwa  na wanakuwa  na kuongezeka kwa hiyo maambukizi yanakuwa mengi zaidi.kwa hiyo tunapaswa hi kuacha kutumia vipodozi vikali kuoshea sehemu za Siri.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1482

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope

Soma Zaidi...
Aina za vyakula ambayo huongeza damu kwa wajawazito na watoto

Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 02

Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.

Soma Zaidi...
Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
Blueberry

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula blueberry

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye protini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...