Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Faida za uyoga mwekundu.
1. Upandisha CD4 mwilini.
Kama tunavyojua kuna kipindi CD4 huwa zinapungua mwilini ila kwa sababu ya matumizi ya uyoga huu mwekundu kiwango cha CD4 kinaongezeka kwa hiyo ni vizuri hasa kwa wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi kutumia uyoga wa namna hii ili kupandisha kiwango cha CD4 mwilini.
2. Uongeza kinga ya mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha CD4 na kiwango cha mwili uongezeka ni vizuri kabisa kutumia uyoga huu kwa wingi ili kuwa na kinga nzuri ya mwili.
3. Ni uyoga mzuri kwa waliougua kwa mda mrefu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha CD4 na waliogua mda mrefu kinga upungua ila kwa matumizi ya uyoga huu wataweza kupata nafuu.
4. Ni uyoga mzuri kwa ajili ya walio na tatizo la homa ya nini.
Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha Kinga ya mwili hata kwa ajili ya homa ya inni ni vizuri zaidi.
5. Pia uyoga huu ni mzuri kwa wenye tatizo la kutanuka moyo.
Kwa watu waliokuwa na tatizo la kutanuka moyo wametumia uyoga huu na sasa hivi wanasema kwamba kuna nafuu.
6. Kwa walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi.
Kwa kawaida walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi wana CD4 kidogo kwa hiyo baada ya kutumia uyoga huu wanaweza kuongeza kiwango cha CD4.
7. Uongeza nguvu mwilini.
Kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye uyoga uongeza nguvu mwilini.
8. Uondoa sumu mwilini.
Kwa watu wenye tatizo la kuwepo kwa sumu mwilini wanashauriwa kutumia uyoga huu kwa wingi ili kuweza kuondoa sumu mwilini.
9. Kuondoa uvimbe mwilini.
Kwa kawaida wale wenye matatizo ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili wanapaswa kutumia sana uyoga huu ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uvimbe.
10. Wenye matatizo ya macho na pia wenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi nao pia wanashauriwa kutumia uyoga huu ili kuweza kuweza kupata nafuu ya matatizo yao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...