Faida za uyoga mwekundu

Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.

Faida za uyoga mwekundu.

1. Upandisha CD4 mwilini.

Kama tunavyojua kuna kipindi CD4 huwa zinapungua mwilini ila kwa sababu ya matumizi ya uyoga huu mwekundu kiwango cha CD4 kinaongezeka kwa hiyo ni vizuri hasa kwa wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi kutumia uyoga wa namna hii ili kupandisha kiwango cha CD4 mwilini.

 

 

 

 

 

2. Uongeza kinga ya mwili.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha CD4 na kiwango cha mwili uongezeka ni vizuri kabisa kutumia uyoga huu kwa  wingi ili kuwa na kinga nzuri ya mwili.

 

 

 

 

3. Ni uyoga mzuri kwa waliougua kwa mda mrefu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha CD4 na waliogua mda mrefu kinga upungua ila kwa matumizi ya uyoga huu wataweza kupata nafuu.

 

 

 

4. Ni uyoga mzuri kwa ajili ya walio na tatizo la homa ya nini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha Kinga ya mwili hata kwa ajili ya homa ya inni ni vizuri zaidi.

 

 

 

5. Pia uyoga huu ni mzuri kwa wenye tatizo la kutanuka moyo.

Kwa watu waliokuwa na tatizo la kutanuka moyo wametumia uyoga huu na sasa hivi wanasema kwamba kuna nafuu.

 

 

 

 

6. Kwa walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi.

Kwa kawaida walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi wana CD4 kidogo kwa hiyo baada ya kutumia uyoga huu wanaweza kuongeza kiwango cha CD4.

 

 

 

7. Uongeza nguvu mwilini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye uyoga uongeza nguvu mwilini.

 

 

 

8. Uondoa sumu mwilini.

Kwa watu wenye tatizo la kuwepo kwa sumu mwilini wanashauriwa kutumia uyoga huu kwa wingi ili kuweza kuondoa sumu mwilini.

 

 

 

9. Kuondoa uvimbe mwilini.

Kwa kawaida wale wenye matatizo ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili wanapaswa kutumia sana uyoga huu ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uvimbe.

 

 

 

10. Wenye matatizo ya macho na pia wenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi nao pia wanashauriwa kutumia uyoga huu ili kuweza kuweza kupata nafuu ya matatizo yao.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2220

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi

Soma Zaidi...
Faida za kula Palachichi

Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula zaituni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini

Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.

Soma Zaidi...
Rangi za majimaji yanayotoka kwenye uke na maana yake kiafya

Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...