Faida za uyoga mwekundu

Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.

Faida za uyoga mwekundu.

1. Upandisha CD4 mwilini.

Kama tunavyojua kuna kipindi CD4 huwa zinapungua mwilini ila kwa sababu ya matumizi ya uyoga huu mwekundu kiwango cha CD4 kinaongezeka kwa hiyo ni vizuri hasa kwa wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi kutumia uyoga wa namna hii ili kupandisha kiwango cha CD4 mwilini.

 

 

 

 

 

2. Uongeza kinga ya mwili.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha CD4 na kiwango cha mwili uongezeka ni vizuri kabisa kutumia uyoga huu kwa  wingi ili kuwa na kinga nzuri ya mwili.

 

 

 

 

3. Ni uyoga mzuri kwa waliougua kwa mda mrefu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha CD4 na waliogua mda mrefu kinga upungua ila kwa matumizi ya uyoga huu wataweza kupata nafuu.

 

 

 

4. Ni uyoga mzuri kwa ajili ya walio na tatizo la homa ya nini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha Kinga ya mwili hata kwa ajili ya homa ya inni ni vizuri zaidi.

 

 

 

5. Pia uyoga huu ni mzuri kwa wenye tatizo la kutanuka moyo.

Kwa watu waliokuwa na tatizo la kutanuka moyo wametumia uyoga huu na sasa hivi wanasema kwamba kuna nafuu.

 

 

 

 

6. Kwa walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi.

Kwa kawaida walioathirika na Ugonjwa wa ukimwi wana CD4 kidogo kwa hiyo baada ya kutumia uyoga huu wanaweza kuongeza kiwango cha CD4.

 

 

 

7. Uongeza nguvu mwilini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye uyoga uongeza nguvu mwilini.

 

 

 

8. Uondoa sumu mwilini.

Kwa watu wenye tatizo la kuwepo kwa sumu mwilini wanashauriwa kutumia uyoga huu kwa wingi ili kuweza kuondoa sumu mwilini.

 

 

 

9. Kuondoa uvimbe mwilini.

Kwa kawaida wale wenye matatizo ya kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili wanapaswa kutumia sana uyoga huu ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uvimbe.

 

 

 

10. Wenye matatizo ya macho na pia wenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi nao pia wanashauriwa kutumia uyoga huu ili kuweza kuweza kupata nafuu ya matatizo yao.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2355

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini

Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake

kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.

Soma Zaidi...
Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?

Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa afya ya moyo

Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.

kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.

Soma Zaidi...