Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Faida za mihogo
1. Una virutubisho Kama protini,wanga, sukari, vitamini C na B pia madini ya calcium, magnesium, phosphorus na sodium
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
4. Huboresha afya ya macho
5. Hutibu tatizo la kuharisha, chukua mizizi yake chemsha Kisha kunywa.
6. Huponesha vidonda
7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
8. Hutibu minyoo
9. Huongeza hamu ya kula
10. Huipa miili yetu nguvu za kutosha
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2293
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Madrasa kiganjani
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Faida za kula Nanasi
Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya Soma Zaidi...
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi
Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi Soma Zaidi...
Faida za kahawa mwilini.
Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa. Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa Soma Zaidi...
Aina za vyakula ambayo huongeza damu kwa wajawazito na watoto
Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Ukwaju
Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini A na kazi zake
Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 02
Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili. Soma Zaidi...
Kazi za virutubisho vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini Soma Zaidi...