Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Faida za nanasi
1. Nanasi Lina virutubisho Kama vile fati, protin, vitamin C na B6, madini ya chuma, manganese na shaba
2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3. Nanasi ni rahisi kumeng'enywa tumboni
4. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
5. Huimarisha na kuboresha mfumo wa kinga mwilini
6. Hupunguza maumivu ya viungio
7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8. Ni tunda tamu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...