Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Faida za nanasi
1. Nanasi Lina virutubisho Kama vile fati, protin, vitamin C na B6, madini ya chuma, manganese na shaba
2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3. Nanasi ni rahisi kumeng'enywa tumboni
4. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
5. Huimarisha na kuboresha mfumo wa kinga mwilini
6. Hupunguza maumivu ya viungio
7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8. Ni tunda tamu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
Soma Zaidi...