Menu



Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere mbaazi na njugumawe

1. Tunapata virutubisho kama protini, vitamini B, A na K madini ya shaba, chuma, na manganese.

2. Husaidia kushusha sukari na kuboresha kiwango cha insulini

3. Hupunguza uwezekano wa kupata kisukari

4. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini

5. Husaidia katika kupunguza uzito

6. Husaidia hatari ya kupata saratani

7. Hupunguza uwezekano wa kupata presha

8. Huboresha afya ya mifupa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2928

Share On:

Facebook WhatsApp

Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Zaituni (Olive)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive

Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini

Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini

Soma Zaidi...
VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO

Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi

Soma Zaidi...
Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...