Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere mbaazi na njugumawe
1. Tunapata virutubisho kama protini, vitamini B, A na K madini ya shaba, chuma, na manganese.
2. Husaidia kushusha sukari na kuboresha kiwango cha insulini
3. Hupunguza uwezekano wa kupata kisukari
4. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Husaidia hatari ya kupata saratani
7. Hupunguza uwezekano wa kupata presha
8. Huboresha afya ya mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...