Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
45. Faida za kiafya za kula Asali
1. Asali ina virutubisho kama sukari, vitamini na madini mbalimbali
2. Asali huweza kuupa mwili uwezo wa kujilinda dhidi ya shambulio la moyo, presha,na saratani
3. Pia asali huboresha afya ya macho
4. Huongeza kiwango cha sukari kwenye damu
5. Hushusha presha ya damu
6. Huborsha na kuimarisha afya ya moyo
7. Ni dawa kwa aliyeungua ama kwa mwenye kidonda ama jeraha
8. Ni dawa ya kikohozi kwa watoto
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j
Soma Zaidi...