Faida za kula asali
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
45. Faida za kiafya za kula Asali
1. Asali ina virutubisho kama sukari, vitamini na madini mbalimbali
2. Asali huweza kuupa mwili uwezo wa kujilinda dhidi ya shambulio la moyo, presha,na saratani
3. Pia asali huboresha afya ya macho
4. Huongeza kiwango cha sukari kwenye damu
5. Hushusha presha ya damu
6. Huborsha na kuimarisha afya ya moyo
7. Ni dawa kwa aliyeungua ama kwa mwenye kidonda ama jeraha
8. Ni dawa ya kikohozi kwa watoto
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Madhara ya vyakula vya kisasa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Faida za kula magimbi (taro roots)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...