picha

Faida za kula asali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali

45. Faida za kiafya za kula Asali

1. Asali ina virutubisho kama sukari, vitamini na madini mbalimbali

2. Asali huweza kuupa mwili uwezo wa kujilinda dhidi ya shambulio la moyo, presha,na saratani

3. Pia asali huboresha afya ya macho

4. Huongeza kiwango cha sukari kwenye damu

5. Hushusha presha ya damu

6. Huborsha na kuimarisha afya ya moyo

7. Ni dawa kwa aliyeungua ama kwa mwenye kidonda ama jeraha

8. Ni dawa ya kikohozi kwa watoto

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2719

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 web hosting     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Faida za chungwa na chenza ( tangarine)

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kunywa maziwa

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya

Soma Zaidi...
Madhara ya vyakula vya kisasa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka

Soma Zaidi...
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Soma Zaidi...
Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...