picha

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha



Faida za kula epo (tufaha)

  1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
  2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
  3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
  4. Hupunguza athari za kisukari
  5. Husaidia kuzuia saratani
  6. Husaida kupambana na pumu
  7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
  8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
  9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1651

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 ai web app     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee

Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin E

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...