Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha



Faida za kula epo (tufaha)

  1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
  2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
  3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
  4. Hupunguza athari za kisukari
  5. Husaidia kuzuia saratani
  6. Husaida kupambana na pumu
  7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
  8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
  9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 952

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu

Soma Zaidi...
Parachichi (avocado)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za parachichi

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Asili ya vyakula vya madini ya zinki

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

Soma Zaidi...
Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Madhara ya upungufu wa protini mwilini

Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai

Soma Zaidi...
Faida za kula asali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...