picha

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha



Faida za kula epo (tufaha)

  1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
  2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
  3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
  4. Hupunguza athari za kisukari
  5. Husaidia kuzuia saratani
  6. Husaida kupambana na pumu
  7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
  8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
  9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1879

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 ai web app     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuongeza damu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe

Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Kupunguza tumbo na nyama za pembeni: Siri zake.

Watu wengi hutumia muda mwingi kufanya mazoezi ya tumbo (sit-ups) wakiamini kuwa ndiyo njia pekee ya kupunguza tumbo. Hii ni siri kuu ya kwanza: Huwezi kuchagua sehemu moja ya mwili ya kupunguza mafuta (spot reduction). Ili kupunguza tumbo na nyama za pembeni, lazima upunguze mafuta mwilini kwa ujumla. Makala haya yanakupa siri za kweli za kufikia lengo hilo kwa ufanisi.

Soma Zaidi...
Karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...