Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Faida za kiafya za kula Zaituni
1. zaituni lina virutubisho kama protini, sukari, fati, pia lina vitamini E, madini ya chuma, shaba, calcium na sodium
2. Husaidia katika kulinda mwili dhidi ya saratani na mashambulizi ya vimelea vya maradhi
3. Huboresha afya ya moyo
4. Husaidia kuboresha afya ya mifupa
5. Husaidia katika kudhibiti fati kwenye damu
6. Hususha presha ya damu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
Soma Zaidi...