Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Faida za kiafya za kula Zaituni
1. zaituni lina virutubisho kama protini, sukari, fati, pia lina vitamini E, madini ya chuma, shaba, calcium na sodium
2. Husaidia katika kulinda mwili dhidi ya saratani na mashambulizi ya vimelea vya maradhi
3. Huboresha afya ya moyo
4. Husaidia kuboresha afya ya mifupa
5. Husaidia katika kudhibiti fati kwenye damu
6. Hususha presha ya damu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...