picha

Faida za kiafya za kula Fenesi

Faida za kiafya za kula Fenesi



Faida za kiafya za kula fenesi

  1. lina virutubisho vingi kama vitamini A, na C, pia kuna wanga
  2. Huimarisha mfumo wa kinga
  3. Ni chakula kinachotia nguvu
  4. Huboresha afya ya moyo na mishipa ya damu na kuthibiti presha
  5. Huzuai kukosa choo
  6. Huzuia mwili dhidi ya kupata saratani
  7. Huboresha afya ya macho
  8. Husaidia kuimarish afya ya mifupa
  9. Husaidia kuzuia pumu
  10. Ni zuri kwa afya ya ngozi


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2130

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.

Soma Zaidi...
Kazi za protini mwilini ni zipi?

Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini

Soma Zaidi...
Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi

Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi

Soma Zaidi...