Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3. MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA
3.1 Dhana ya Ibada kwa Mtazamo wa Uislamu.
- Ibada Ni neno la Kiarabu linalotokana na neno Abd lenye maana ya mtumwa au
Mtumishi.
Kumtumikia Allah (s.w) kikweli kweli ni kufanya kila analoliridhia Allah (s.w).
Kuzingatia na kufuata amri zake zote kwa kuchunga mipaka yake katika maisha ya kila siku.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ukweli ni katika sifa za waumini. Siku zote hakuna hasara katika kusema ukweli. Kinyume chake uongo ni katika madhambi makubwa sana.
Soma Zaidi...Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.
Soma Zaidi...Tendo la zinaa ni tendo chafu kimaadili na Allah (s.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nuzo 6 za imani ya uislamu na pia utajifunz akuhusu mafunzo yanayoweza kupatikana kwenye Nguzo hizi.
Soma Zaidi...Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)
Soma Zaidi...Dhana ya faradh kwa muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...