Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3. MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA
3.1 Dhana ya Ibada kwa Mtazamo wa Uislamu.
- Ibada Ni neno la Kiarabu linalotokana na neno Abd lenye maana ya mtumwa au
Mtumishi.
Kumtumikia Allah (s.w) kikweli kweli ni kufanya kila analoliridhia Allah (s.w).
Kuzingatia na kufuata amri zake zote kwa kuchunga mipaka yake katika maisha ya kila siku.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Njia ambazo Allah hutumia kuwasiliana na wanadamu nakuwafundisha elimu mbalimbali. (Edk form 1 dhana ya Elimu)
Soma Zaidi...Ukizingatia maana halisi ya dini, kuwa dini ni utaratibu wa maisha, utadhihirikiwa kuwa umbile la mwanaadamu ni la kidini.
Soma Zaidi...عَنْ عُمَرَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَيْضًا قَالَ: " بَيْنَمَا نَحْنُ جُلُوسٌ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ذَاتَ يَوْمٍ، إذْ ?...
Soma Zaidi...Allah hutumia maandishi kuwafundisha wanadamu. Mfano mzuri ni nabii Musa ambaye alipewa vibao vya maandishi.
Soma Zaidi...