Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Faida za maboga
1. Mbegu za maboga zina virutubisho Kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na magnesium
2. Maboga yana antioxidants ambazo hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Huboresha afya ya moyo
6. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
10. Huongeza mbegu za kiume
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...