Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Faida za maboga
1. Mbegu za maboga zina virutubisho Kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na magnesium
2. Maboga yana antioxidants ambazo hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Huboresha afya ya moyo
6. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
10. Huongeza mbegu za kiume
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...