mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
MAMBO HATARI KWA UJAUZITO
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini. Mambo haya yenyewe hayawezi kusababisha ujauzito kutoka ila yanaweza kuongeza hatari ya ujauzito kutoka pindi yakiambatana na mambo matani niliyotangulia kuyataja hapo juu. Mambo haya ni kama:
- Kuwa na umri mkubwa kuanzia miaka 35 mpaka 40
- Kuzidi kwa uzito mwilini
- Uvutaji wa sigara
- Unywaji wa pombe
- Ulaji wa caffeine nyingi kupita kiasi. Caffein hupatikana kwenye chai.
- Sumu za kwenye vyakula, kama kwenye nyama.
- Matumizi ya baadhi ya madawa kama
- Misoprostol
- Retinoids
- Methotrexate
- NSAIDs kama ibuprofen
- Maambukizi na mashabulizi ya
- HIV
- Cytomegalovirus
- Bacterial vaginosis
- Gonorrhea
- Chlamydia
- Malaria
- Syphilis
- Kisukari
HAYA HAYASABABISHI MIMBA KUTOKA
- Kufanya mazoezi
- Kufanya kazi
- Kula vyakula vinavyowasha kama vyenye pilipili
- Kufanya tendo la ndoa
- Kupata msituko
- Kuwa na mawazo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Kitabu cha Afya π4 Dua za Mitume na Manabii π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu Γ°ΕΈΛΒ makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...utaratibu wa lishe kwa Mjamzito, Vyakula anavyopasa kula mjamzito
Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito
Soma Zaidi...Madhara ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.
Soma Zaidi...Dalili za kasoro ya moyo za kuzaliwa kwa watoto
Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...