picha

Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

Sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba damu wakati wa hedhi inapaswa kuwa ya kawaida na isiwe na aina yoyote ya mabonge lakini kuna wakati unafika ambapo damu wakt wa hedhi inakuja ikiwa nzito na yenye mabonge mabonge mengi, hali hii usababishwa na mambo yafuatayo .

 

2. Maambukizi kwenye via vya uzazi.

Kwenye via kama kuna Maambukizi hali hii utokea Maambukizi ha ya magonjwa ya ngono kama vile kaswende, kisonono na mengine kama hayo, na si Magonjwa ya ngono tu kuna maambukizi kwenye mlango wa kizazi nao pia usababisha damu kuja ikiwa nzito kwa hiyo kama hali hiyo ikitokea ni lazima kwenda kwenye vipimo ili kuangalia shida ni ipi na kutibiwa mara moja 

 

3.Kuwepo kwa uvimbe kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari, kama kuna uvimbe wowote uweza kusababisha mabonge mabonge ya damu wakati wa hedhi kwa hiyo ni lazima kufanya vipimo vya kwenye mfumo wa uzazi na kwenye ovary ili kuweza kutambua tatizo lililopo kwa Mama au dada yeyote mwenye tatizo kama hili 

 

4.mabadiliko ya homoni.

Pengine utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni ambazo zinahusika na kupandisha yai kutoka kwenye ovari, kuandaa mfuko wa uzazi, na kuaribu mfuko wa uzazi kama hakuna mimba katika hatua zote hizi kama kuna shida yoyote kwenye homoni na damu utoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea mara chache inaweza kuwa kama miezi miwili na baadae uacha ila kama ni Maambukizi uendelea.

 

5.Kwa hiyo hali hii ikitokea mara kwa mara ni lazima kuchukua hatua za haraka ili kama ni Maambukizi yatibiwe mara moja ili kuzuia matatizo mengine kama vile utasa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 10822

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?

Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume

Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...