Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
1. Kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba damu wakati wa hedhi inapaswa kuwa ya kawaida na isiwe na aina yoyote ya mabonge lakini kuna wakati unafika ambapo damu wakt wa hedhi inakuja ikiwa nzito na yenye mabonge mabonge mengi, hali hii usababishwa na mambo yafuatayo .
2. Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Kwenye via kama kuna Maambukizi hali hii utokea Maambukizi ha ya magonjwa ya ngono kama vile kaswende, kisonono na mengine kama hayo, na si Magonjwa ya ngono tu kuna maambukizi kwenye mlango wa kizazi nao pia usababisha damu kuja ikiwa nzito kwa hiyo kama hali hiyo ikitokea ni lazima kwenda kwenye vipimo ili kuangalia shida ni ipi na kutibiwa mara moja
3.Kuwepo kwa uvimbe kwenye mfuko wa uzazi na kwenye ovari, kama kuna uvimbe wowote uweza kusababisha mabonge mabonge ya damu wakati wa hedhi kwa hiyo ni lazima kufanya vipimo vya kwenye mfumo wa uzazi na kwenye ovary ili kuweza kutambua tatizo lililopo kwa Mama au dada yeyote mwenye tatizo kama hili
4.mabadiliko ya homoni.
Pengine utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni ambazo zinahusika na kupandisha yai kutoka kwenye ovari, kuandaa mfuko wa uzazi, na kuaribu mfuko wa uzazi kama hakuna mimba katika hatua zote hizi kama kuna shida yoyote kwenye homoni na damu utoka kama mabonge mabonge na hali hii utokea mara chache inaweza kuwa kama miezi miwili na baadae uacha ila kama ni Maambukizi uendelea.
5.Kwa hiyo hali hii ikitokea mara kwa mara ni lazima kuchukua hatua za haraka ili kama ni Maambukizi yatibiwe mara moja ili kuzuia matatizo mengine kama vile utasa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.
Soma Zaidi...Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik
Soma Zaidi...Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...