Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Zifuatazo no dalili ambazo husababisha uume kuwashwa;
1.uume kutodinda wakati wa asubuhi yaani mwanaume hasimamishi kabisa kwasababu ya muwasho uliopo kwenye penis.
2.ukifika kileleni mbegu za kiume hazitoki(sparms) mwanaume anashindwa kufika kileleni lakini Muda huo simen huweza kutoka Ila sparm hazitoki na mwanaume anaweza kukojoa mkojo mzito .
3.maumivu makali uume unaposimama pale ambapo mwanaume anasimamisha alafu mida huo Ana muwasho kwenye penis hupelekea maumivu makali Sana
4.usaha kutoka kwenye mirija ya mkojo pamoja na maumivu hii nayo ni dalili mbaya ambapo hutokea pale ambapo mwanaume amepata maambukizi ya dalili za kisonono
5.kuwashwa Sana katika bomba au njia ya mkojo hii ni dalili za UTI au fangasi
6.uchafu wa kawaida kutoka kwenye uume na hii hupelekea saratani
7.kufika kileleni mapema
8.penis kupata kidonda na hii ni mojawapo ya dalili za kaswende ambapo huchelewa kuonekana
9.uume unaweza kupinda.
10.vinyamanyama hutokea kwenye uume
Mwisho; wanaume au watoto ambao bado hawajatahiriwa Wana risk kubwa Sana ya kuwashwa penis hivyo ni vyema wanaume mjitahidi kutahiriwa na Kama umetahiriwa ukapata dalili kama hizi mnashwauriwa kwenda hospital kwaajili ya vipimo na matibabu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Kukoma hedhi hufafanuliwa kuwa hutokea miezi 12 baada ya kipindi chako cha mwisho cha hedhi na huashiria mwisho wa mizunguko ya hedhi. Kukoma hedhi kunaweza kutokea katika miaka ya 40 au 50. Kukoma hedhi ni mchakato wa asili wa kibaolojia. Ingawa pia in
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun
Soma Zaidi...