Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk
Zifuatazo ni sababu zinazopelekea kupata tezi dume
-umri Mara nyingi huwakumba watu wenye umri anzia 40 na kuendelea ambao Mara nyingi ni wazee ugonjwa huu sio rahisi kuwapata wanaume chini ya umri ya miaka 40 ni Mara chache Sana.
-tezi dume huweza kuwa za kurithiwa inatokana na genetic disorder za kifamilia
-life style mtu anaweza kuishi kwa mawazo au bila kupata Milo kamili kwahiyo staili za maisha huweza kupelekea maradhi ya tez dume.
DALILI ZA TEZI DUME
1.kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku
2.damu kutoka wakati wa kukojoa
3.kupatwa na ugumu wakati wa kukojoa
4.mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu
5.mkojo kutokutoka kabisa
6.kujichafua wakati wa kukojoa.
Athari zinazopelekea tezi dume
-kibofu kuharibika
-kupata na vijiwe kwenye kibofu
-maambukizi ya fangasi au UTI
-kuharibika kwa Figo
Suluhisho; prostate glad Zina matibabu pia hutibika kwahiyo mwanaume akiona dalili kama hizi hashauriwi kukaa kimya kilichopo aende hospital kwaajili ya vipimo na matibabu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Soma Zaidi...Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
Soma Zaidi...Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
Soma Zaidi...