DALILI ZA TEZI DUME
Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk
Zifuatazo ni sababu zinazopelekea kupata tezi dume
-umri Mara nyingi huwakumba watu wenye umri anzia 40 na kuendelea ambao Mara nyingi ni wazee ugonjwa huu sio rahisi kuwapata wanaume chini ya umri ya miaka 40 ni Mara chache Sana.
-tezi dume huweza kuwa za kurithiwa inatokana na genetic disorder za kifamilia
-life style mtu anaweza kuishi kwa mawazo au bila kupata Milo kamili kwahiyo staili za maisha huweza kupelekea maradhi ya tez dume.
DALILI ZA TEZI DUME
1.kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku
2.damu kutoka wakati wa kukojoa
3.kupatwa na ugumu wakati wa kukojoa
4.mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu
5.mkojo kutokutoka kabisa
6.kujichafua wakati wa kukojoa.
Athari zinazopelekea tezi dume
-kibofu kuharibika
-kupata na vijiwe kwenye kibofu
-maambukizi ya fangasi au UTI
-kuharibika kwa Figo
Suluhisho; prostate glad Zina matibabu pia hutibika kwahiyo mwanaume akiona dalili kama hizi hashauriwi kukaa kimya kilichopo aende hospital kwaajili ya vipimo na matibabu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.
Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Ni ili sababu ya kutokea kwa tezi dume
Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.
Soma Zaidi...Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?
Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba
Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?
Soma Zaidi...