Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma
Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Umuhimu wa kondo la nyuma kwa mtoto pale mama anapokuwa mjamzito.
1. Husaidia kusafirisha gas ya oxygen kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
2. Husaidia kusafirisha damu chafu ya corbondioxide kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama.
3. Husaidia kusafirisha uchafu kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama Kisha kutolewa nje kama uchafu mwingine.
4. Husaidia kuzuia wadudu na sumu kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ambavyo inaweza kuleta madhara
5. Husaidia pia kusafirisha vitamin na madini kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Kwa ujumla kondo la nyuma Lina kazi kubwa katika makuzi ya mtoto akiwa tumboni mwa mama yake, kwa hiyo tunapaswa kumlinda mama akiwa na mimba kw kufanya yafuatayo,
1. Kuhakikisha mama amepata hewa Safi.
2. Kumpatia chakula Cha kutosha
3. Kumpatia madini yabayohitajika.
4. Kuepuka a na kutumia vyakula vyenye sumu.
Kwa kufanya hayo tutaweza kufanya kondo la nyuma lifanye kazi yake vizuri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 ai web app π4 Dua za Mitume na Manabii π5 web hosting π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza
Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.
Soma Zaidi...Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito
Soma Zaidi...Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea
Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...Mimba iliyotunga nje
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
Soma Zaidi...Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...