Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Umuhimu wa kondo la nyuma kwa mtoto pale mama anapokuwa mjamzito.
1. Husaidia kusafirisha gas ya oxygen kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
2. Husaidia kusafirisha damu chafu ya corbondioxide kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama.
3. Husaidia kusafirisha uchafu kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama Kisha kutolewa nje kama uchafu mwingine.
4. Husaidia kuzuia wadudu na sumu kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ambavyo inaweza kuleta madhara
5. Husaidia pia kusafirisha vitamin na madini kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Kwa ujumla kondo la nyuma Lina kazi kubwa katika makuzi ya mtoto akiwa tumboni mwa mama yake, kwa hiyo tunapaswa kumlinda mama akiwa na mimba kw kufanya yafuatayo,
1. Kuhakikisha mama amepata hewa Safi.
2. Kumpatia chakula Cha kutosha
3. Kumpatia madini yabayohitajika.
4. Kuepuka a na kutumia vyakula vyenye sumu.
Kwa kufanya hayo tutaweza kufanya kondo la nyuma lifanye kazi yake vizuri.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h
Soma Zaidi...Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...