Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)
Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi
Sababu zinazopelekea kupata uvimbe kwenye kizazi
-progesterone na estrogen kuzid kiwango mwilini
-ujauzito
-uzito kuwa mwingi
-genetiki zisizo za kawaida
-lishe duni
-na sababu nyingine ni ya kurithi
Uvimbe kwenye kizazi umegawanyika ktk makundi matatu nayo no:
1.ndani ya kizazi(submucosal fibroid)
2.ndani ya nyama za.kizazi (intramural fibroid)
3.nje ya kizazi(subserosal).
Dalili za uvimbe kwenye kizazi
-maumivu makali wakati wa siku za hedhi
-kuvimba miguu
-unaweza kuhisi una ujauzito
-maumivu wakati wa ndoa
-kupata haha ndogo kwa taabu
-kutokwa na uchafu ukeni
-kupata choo kigumu
-mimba kutoka mara kwa Mara
-maumivu ya kichwa
-kuvimba sehemu ya chini ya tumbo
Matibabu ; FIBROID SOLUTION ni dawa yenye uwezo mkumbwa katika kutibu uvimbe wa kizazi
Ushauri; ukipata dalili kama hizi usikimbilie kutumia dawa bila kumwona daktari unashauriwa kumwona daktari ili afanye vipimo na ku confirm Kama je ni kwel? Ili akupatie matibabu na namna ya kimfanya ili kuepukana na uvimbe wa kizazi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 web hosting 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Dalili za Mimba ya Siku 7 kwa Mwanamke
Kipindi cha siku saba baada ya kurutubishwa kwa yai (karibu wiki moja tangu kutunga kwa mimba) ni hatua ya mwanzo kabisa ambapo kijusi kinaanza kujipandikiza kwenye mji wa mimba. Ingawa mara nyingi ni mapema mno kwa vipimo vya mkojo kuonyesha matokeo chanya, mwili wa mwanamke unaweza kuanza kuonyesha dalili fiche za kibaolojia. Makala hii inaelezea kile kinachotokea mwilini mwako katika kipindi hiki cha siku saba.
Soma Zaidi...Nini husababisha maumivu ya uume
Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
Soma Zaidi...Umuhimu wa kunyonyesha mtoto
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.
Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...SABABU ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME AMA KUWA NA UWEZO MDOGO WA KUHIMILI TENDO LA NDOA
Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...