Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi
Sababu zinazopelekea kupata uvimbe kwenye kizazi
-progesterone na estrogen kuzid kiwango mwilini
-ujauzito
-uzito kuwa mwingi
-genetiki zisizo za kawaida
-lishe duni
-na sababu nyingine ni ya kurithi
Uvimbe kwenye kizazi umegawanyika ktk makundi matatu nayo no:
1.ndani ya kizazi(submucosal fibroid)
2.ndani ya nyama za.kizazi (intramural fibroid)
3.nje ya kizazi(subserosal).
Dalili za uvimbe kwenye kizazi
-maumivu makali wakati wa siku za hedhi
-kuvimba miguu
-unaweza kuhisi una ujauzito
-maumivu wakati wa ndoa
-kupata haha ndogo kwa taabu
-kutokwa na uchafu ukeni
-kupata choo kigumu
-mimba kutoka mara kwa Mara
-maumivu ya kichwa
-kuvimba sehemu ya chini ya tumbo
Matibabu ; FIBROID SOLUTION ni dawa yenye uwezo mkumbwa katika kutibu uvimbe wa kizazi
Ushauri; ukipata dalili kama hizi usikimbilie kutumia dawa bila kumwona daktari unashauriwa kumwona daktari ili afanye vipimo na ku confirm Kama je ni kwel? Ili akupatie matibabu na namna ya kimfanya ili kuepukana na uvimbe wa kizazi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
Soma Zaidi...Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...