picha

Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)

Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi

Sababu zinazopelekea kupata uvimbe kwenye kizazi

-progesterone na estrogen kuzid kiwango mwilini

-ujauzito

-uzito kuwa mwingi 

-genetiki zisizo za kawaida

-lishe duni

-na sababu nyingine ni ya kurithi

   Uvimbe kwenye kizazi umegawanyika ktk makundi matatu nayo no:

1.ndani ya kizazi(submucosal fibroid)

2.ndani ya nyama za.kizazi (intramural fibroid)

3.nje ya kizazi(subserosal).

        Dalili za uvimbe kwenye kizazi

-maumivu makali wakati wa siku za hedhi 

-kuvimba miguu

-unaweza kuhisi una ujauzito

-maumivu wakati wa ndoa

-kupata haha ndogo kwa taabu

-kutokwa na uchafu ukeni

-kupata choo kigumu

-mimba kutoka mara kwa Mara 

-maumivu ya kichwa

-kuvimba sehemu ya chini ya tumbo

Matibabu ; FIBROID SOLUTION ni dawa yenye uwezo mkumbwa katika kutibu uvimbe wa kizazi

Ushauri; ukipata dalili kama hizi usikimbilie kutumia dawa bila kumwona daktari unashauriwa kumwona daktari ili afanye vipimo na ku confirm Kama je ni kwel? Ili akupatie matibabu na namna ya kimfanya ili kuepukana na uvimbe wa kizazi

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 9335

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 ai web app     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Dalili za kupasuka kondo la nyuma (placenta)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo wakatu wa tendo la ndoa

Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa

Soma Zaidi...