Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.
Zijue mbegu za kiume zilizo bora.
1. Kwa kawaida uwa nyingi.
Hili kuona kuwa mbegu ni nzima kitu cha kwanza unapaswa kuangalia kiasi, kwa kawaida mbegu nzima kiasi chake huwa ni kikubwa na zinakuwa ni nzito ukilinganisha na zile dhaifu.
3. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kutungisha mimba.
Kwa sababu hizi mbegu zinakuwa na sifa zote zinaweza kutungisha mimmba kwa urahisi kwa sababu zinakuwa na sifa zote za kubebesha mimba na kama mwanaume ana mbegu za aina hiyo ni vizuri kabisa kubebesha mimba.
4. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kuogelea na kufikia kwenye yai, kwa hiyo kwa kawaida mbegu zilizo nzima zinaweza kusafili kwa kiasi kinachohitajika na kuweza kutungisha mimba.
5. Pia mbegu hizo huwa na rangi za gray kwa sababu ya kuwepo kwa uhai ukilinganisha na mbegu dhaifu ambazo ni dhaifu kwa hiyo ukiona mbegu ni za gray jua wazi kuwa ni nzima na zina uhai.
6. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mbegu nzima zina sifa zote za kutungisha mimba kwa hiyo ikitokea wachumba wanakosa mtoto kwa mwaka mzima na mbegu zikiwa na sifa zote tunapaswa kupima na kujua uenda pakawepo na tatizo lingine.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba
Soma Zaidi...Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio
Soma Zaidi...Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
Soma Zaidi...