Zijue mbegu za kiume zilizo bora.

Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.

Zijue mbegu za kiume zilizo bora.

1. Kwa kawaida uwa nyingi.

Hili kuona kuwa mbegu ni nzima kitu cha kwanza unapaswa kuangalia kiasi, kwa kawaida mbegu nzima kiasi chake huwa ni kikubwa na zinakuwa ni nzito ukilinganisha na zile dhaifu.

 

3. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kutungisha mimba.

Kwa sababu hizi mbegu zinakuwa na sifa zote zinaweza kutungisha mimmba kwa urahisi kwa sababu zinakuwa na sifa zote za kubebesha mimba na kama mwanaume ana mbegu za aina hiyo ni vizuri kabisa kubebesha mimba.

 

4. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kuogelea na kufikia kwenye yai, kwa hiyo kwa kawaida mbegu zilizo nzima zinaweza kusafili kwa kiasi kinachohitajika na kuweza kutungisha mimba.

 

5. Pia mbegu hizo huwa na rangi za gray kwa sababu ya kuwepo kwa uhai ukilinganisha na mbegu dhaifu ambazo ni dhaifu kwa hiyo ukiona mbegu ni za gray jua wazi kuwa ni nzima na zina uhai.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mbegu nzima zina sifa zote za kutungisha mimba kwa hiyo ikitokea wachumba wanakosa mtoto kwa mwaka mzima na mbegu zikiwa na sifa zote tunapaswa kupima na kujua uenda pakawepo na tatizo lingine.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/03/06/Sunday - 07:10:14 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2226

Post zifazofanana:-

Mafunzo yz database MySQL database somo la 12 (final)
Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database Soma Zaidi...

Faida za Uzazi wa mpango
Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA. Soma Zaidi...

Mafunzo yatokanayo na upinzani wa maquraish dhidi ya uislamu
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Watu walio hatarini kupata UTI
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI Soma Zaidi...

Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu. Soma Zaidi...

Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.
Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii. Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...

HISTORIA YA FAMILIA YA MTUME MUHAMMAD S.A.W
Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 02. Soma Zaidi...

Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni. Soma Zaidi...

Fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Mambo yanayosababisha kuharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu Soma Zaidi...

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa Soma Zaidi...