Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.
Zijue mbegu za kiume zilizo bora.
1. Kwa kawaida uwa nyingi.
Hili kuona kuwa mbegu ni nzima kitu cha kwanza unapaswa kuangalia kiasi, kwa kawaida mbegu nzima kiasi chake huwa ni kikubwa na zinakuwa ni nzito ukilinganisha na zile dhaifu.
3. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kutungisha mimba.
Kwa sababu hizi mbegu zinakuwa na sifa zote zinaweza kutungisha mimmba kwa urahisi kwa sababu zinakuwa na sifa zote za kubebesha mimba na kama mwanaume ana mbegu za aina hiyo ni vizuri kabisa kubebesha mimba.
4. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kuogelea na kufikia kwenye yai, kwa hiyo kwa kawaida mbegu zilizo nzima zinaweza kusafili kwa kiasi kinachohitajika na kuweza kutungisha mimba.
5. Pia mbegu hizo huwa na rangi za gray kwa sababu ya kuwepo kwa uhai ukilinganisha na mbegu dhaifu ambazo ni dhaifu kwa hiyo ukiona mbegu ni za gray jua wazi kuwa ni nzima na zina uhai.
6. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mbegu nzima zina sifa zote za kutungisha mimba kwa hiyo ikitokea wachumba wanakosa mtoto kwa mwaka mzima na mbegu zikiwa na sifa zote tunapaswa kupima na kujua uenda pakawepo na tatizo lingine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
Soma Zaidi...