Zijue mbegu za kiume zilizo bora.


image


Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.


Zijue mbegu za kiume zilizo bora.

1. Kwa kawaida uwa nyingi.

Hili kuona kuwa mbegu ni nzima kitu cha kwanza unapaswa kuangalia kiasi, kwa kawaida mbegu nzima kiasi chake huwa ni kikubwa na zinakuwa ni nzito ukilinganisha na zile dhaifu.

 

3. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kutungisha mimba.

Kwa sababu hizi mbegu zinakuwa na sifa zote zinaweza kutungisha mimmba kwa urahisi kwa sababu zinakuwa na sifa zote za kubebesha mimba na kama mwanaume ana mbegu za aina hiyo ni vizuri kabisa kubebesha mimba.

 

4. Pia hizi mbegu zina uwezo wa kuogelea na kufikia kwenye yai, kwa hiyo kwa kawaida mbegu zilizo nzima zinaweza kusafili kwa kiasi kinachohitajika na kuweza kutungisha mimba.

 

5. Pia mbegu hizo huwa na rangi za gray kwa sababu ya kuwepo kwa uhai ukilinganisha na mbegu dhaifu ambazo ni dhaifu kwa hiyo ukiona mbegu ni za gray jua wazi kuwa ni nzima na zina uhai.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa mbegu nzima zina sifa zote za kutungisha mimba kwa hiyo ikitokea wachumba wanakosa mtoto kwa mwaka mzima na mbegu zikiwa na sifa zote tunapaswa kupima na kujua uenda pakawepo na tatizo lingine.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza Soma Zaidi...

image Tofauti za uke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...

image Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.
Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka. Soma Zaidi...

image Madhara ya fangasi ukeni
Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke. Soma Zaidi...

image Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake Soma Zaidi...

image Fahamu ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito.
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtoto zaidi. Soma Zaidi...

image Jinsi ya kupata mtoto wa kiume
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume. Soma Zaidi...

image Lishe salama kwa mjamzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito Soma Zaidi...

image Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa
Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa. Soma Zaidi...

image Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?
Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito? Soma Zaidi...