picha

Njia za kutibu mbegu dhaifu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.

Njia za kutibu mbegu dhaifu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kuboresha vyakula vyetu na kutumia vyakula vyenye wingi wa madini ya zinki, vitamini E, follic asidi, vitamini B12, na vitamini C.

 

2. Kujitahidi kuondoa sumu mwilini kwa kufanya mazoezi na kutoa jasho, na kuepuka kula vyakula vya super market na vyakula vingine ambavyo havina umuhimu kwenye mwili.

 

3. Kuepuka hali ya kujichua .

Kujichua nakwa usababisha misuli ya kwenye uume kulegea na kufanya mbegu kuwa dhaifu kwa hiyo  tunapaswa kuacha kupiga pinyeto ili kuondoa tatizo hili.

 

4. Kupunguza wasiwasi na msongo wa mawazo.

Kwa sababu mbegu za kiume kuwa dhaifu usababishwa na msongo wa mawazo na wasiwasi kwa hiyo tunapaswa kuacha kupunguza mawazo na kuwa kwenye hali ya kawaida.

 

5. Kupunguza matumizi ya pombe kali.

Kwa kawaida pombe kali huwa ni shida sana kwa uzazi kwa hiyo kwa wale wanaume ambao wanatumia sana vileo vikali hasa pombe za kupita kiasi wanapaswa kupunguza ili kuweza kupunguza tatizo hili na hasa kwa wale ambao wameshagundulika na tatizo.

 

6. Kuepukakana na vinywaji vyenye sumu na kemikali.

Kwa kawaida wale wanaofanya kazi kwenye sehemu za mionzi na kwenye kemikali kali iwapo wamegundulika na tatizo hili wanapaswa kuachana na kutumia kemikali ili kuweza kujiepusha na tatizo hili.

 

7. Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu matatizo haya na jinsi ya kufanya ili kuweza kuepuka matatizo kwenye jamii

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 1898

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Soma Zaidi...
Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa

Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.

Soma Zaidi...
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma

Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.

Soma Zaidi...