Njia za kutibu mbegu dhaifu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.

Njia za kutibu mbegu dhaifu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kuboresha vyakula vyetu na kutumia vyakula vyenye wingi wa madini ya zinki, vitamini E, follic asidi, vitamini B12, na vitamini C.

 

2. Kujitahidi kuondoa sumu mwilini kwa kufanya mazoezi na kutoa jasho, na kuepuka kula vyakula vya super market na vyakula vingine ambavyo havina umuhimu kwenye mwili.

 

3. Kuepuka hali ya kujichua .

Kujichua nakwa usababisha misuli ya kwenye uume kulegea na kufanya mbegu kuwa dhaifu kwa hiyo  tunapaswa kuacha kupiga pinyeto ili kuondoa tatizo hili.

 

4. Kupunguza wasiwasi na msongo wa mawazo.

Kwa sababu mbegu za kiume kuwa dhaifu usababishwa na msongo wa mawazo na wasiwasi kwa hiyo tunapaswa kuacha kupunguza mawazo na kuwa kwenye hali ya kawaida.

 

5. Kupunguza matumizi ya pombe kali.

Kwa kawaida pombe kali huwa ni shida sana kwa uzazi kwa hiyo kwa wale wanaume ambao wanatumia sana vileo vikali hasa pombe za kupita kiasi wanapaswa kupunguza ili kuweza kupunguza tatizo hili na hasa kwa wale ambao wameshagundulika na tatizo.

 

6. Kuepukakana na vinywaji vyenye sumu na kemikali.

Kwa kawaida wale wanaofanya kazi kwenye sehemu za mionzi na kwenye kemikali kali iwapo wamegundulika na tatizo hili wanapaswa kuachana na kutumia kemikali ili kuweza kujiepusha na tatizo hili.

 

7. Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu matatizo haya na jinsi ya kufanya ili kuweza kuepuka matatizo kwenye jamii

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1103

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu sifa za Ute wa siku za kupata mimba yaani ovulation day

Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.

Soma Zaidi...
Sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu

Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Soma Zaidi...
Fahamu Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.

Soma Zaidi...
Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Mimba iliyotunga nje

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe

Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.

Soma Zaidi...
Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...