Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Njia za kutibu mbegu dhaifu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kuboresha vyakula vyetu na kutumia vyakula vyenye wingi wa madini ya zinki, vitamini E, follic asidi, vitamini B12, na vitamini C.
2. Kujitahidi kuondoa sumu mwilini kwa kufanya mazoezi na kutoa jasho, na kuepuka kula vyakula vya super market na vyakula vingine ambavyo havina umuhimu kwenye mwili.
3. Kuepuka hali ya kujichua .
Kujichua nakwa usababisha misuli ya kwenye uume kulegea na kufanya mbegu kuwa dhaifu kwa hiyo tunapaswa kuacha kupiga pinyeto ili kuondoa tatizo hili.
4. Kupunguza wasiwasi na msongo wa mawazo.
Kwa sababu mbegu za kiume kuwa dhaifu usababishwa na msongo wa mawazo na wasiwasi kwa hiyo tunapaswa kuacha kupunguza mawazo na kuwa kwenye hali ya kawaida.
5. Kupunguza matumizi ya pombe kali.
Kwa kawaida pombe kali huwa ni shida sana kwa uzazi kwa hiyo kwa wale wanaume ambao wanatumia sana vileo vikali hasa pombe za kupita kiasi wanapaswa kupunguza ili kuweza kupunguza tatizo hili na hasa kwa wale ambao wameshagundulika na tatizo.
6. Kuepukakana na vinywaji vyenye sumu na kemikali.
Kwa kawaida wale wanaofanya kazi kwenye sehemu za mionzi na kwenye kemikali kali iwapo wamegundulika na tatizo hili wanapaswa kuachana na kutumia kemikali ili kuweza kujiepusha na tatizo hili.
7. Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu matatizo haya na jinsi ya kufanya ili kuweza kuepuka matatizo kwenye jamii
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Soma Zaidi...In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinamfanya mama au dada kutobeba mimba. Kwa hiyo tutaziona hapo chini kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
Soma Zaidi...