Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.

Mambo yanayoadhiri afya za wanaume.

1.Upigaji wa punyeto.

Hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba wanaume wengi kwa sababu wanapoanza kupiga punyeto katika umri mdogo wakifikiwa wakati wa kuoa hali hii Usababisha nguvu za kiume kupungua na kufanya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa hiyo wanawake uweza kuwadharau na kuwaona hawafai hali inayosababisha wanaume kuishi pasipo kujiamini.

 

2. Kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.

Kuna wanaume ambao siku zote utumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambapo wakizitumia mda mrefu ufikia kipindi cha kufanya uume ushindwe kusimama kwa mda mrefu na kusababisha kufaulu vizuri tendo la ndoa hali hii uwafanya wanaume wajisikie vibaya wakiwa na wake zao .

 

3. Magonjwa sugu.

Mara nyingi wanaume Upata Magonjwa sugu ambayo uwafanya wakose raha kwa sababu kwa mara nyingine wanakosa huduma kutoka kwa wenzio wao hasa kama wana familia zaidi ya moja, Magonjwa haya ni kama presha, kisukari,ngili tezi dume.

 

4. Vyakula vya mafuta.

Kwa kutumia vyakula vingi vya mafuta ufanya kuziba mishipa ya damu na kwa hiyo damu ushindwa kufikia kwenye uume kwa hiyo baba anaweza kushindwa kubebesha mimba.

 

5. Msongo wa mawazo.

Kwa wakati mwingine kuna wanaume wanakuwa na msongamano wa mawazo hasa pale wakiwa wazee na kukosa ela na pale pengine utengwa na familia kwa hiyo hali uifanya afya ya Wanaume kuwa mbaya na kudhorota kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa wazee wanapaswa kutunzwa vizuri.

 

6. Ulevi na uvutaji sigara.

Kuna wazee wengine wenye tabia ya kuvuta sigara na kunywa pombe mara kwa mara kwa hiyo wanapaswa kupunguza matumizi ya pombe na kujua madhara yake na kuacha

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1481

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...
Namna ya kumpima mtoto uzito

Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.

Soma Zaidi...
Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja

ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?

Soma Zaidi...
Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?

Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.

Soma Zaidi...
Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...