Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.
Mambo yanayoadhiri afya za wanaume.
1.Upigaji wa punyeto.
Hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba wanaume wengi kwa sababu wanapoanza kupiga punyeto katika umri mdogo wakifikiwa wakati wa kuoa hali hii Usababisha nguvu za kiume kupungua na kufanya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa hiyo wanawake uweza kuwadharau na kuwaona hawafai hali inayosababisha wanaume kuishi pasipo kujiamini.
2. Kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.
Kuna wanaume ambao siku zote utumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambapo wakizitumia mda mrefu ufikia kipindi cha kufanya uume ushindwe kusimama kwa mda mrefu na kusababisha kufaulu vizuri tendo la ndoa hali hii uwafanya wanaume wajisikie vibaya wakiwa na wake zao .
3. Magonjwa sugu.
Mara nyingi wanaume Upata Magonjwa sugu ambayo uwafanya wakose raha kwa sababu kwa mara nyingine wanakosa huduma kutoka kwa wenzio wao hasa kama wana familia zaidi ya moja, Magonjwa haya ni kama presha, kisukari,ngili tezi dume.
4. Vyakula vya mafuta.
Kwa kutumia vyakula vingi vya mafuta ufanya kuziba mishipa ya damu na kwa hiyo damu ushindwa kufikia kwenye uume kwa hiyo baba anaweza kushindwa kubebesha mimba.
5. Msongo wa mawazo.
Kwa wakati mwingine kuna wanaume wanakuwa na msongamano wa mawazo hasa pale wakiwa wazee na kukosa ela na pale pengine utengwa na familia kwa hiyo hali uifanya afya ya Wanaume kuwa mbaya na kudhorota kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa wazee wanapaswa kutunzwa vizuri.
6. Ulevi na uvutaji sigara.
Kuna wazee wengine wenye tabia ya kuvuta sigara na kunywa pombe mara kwa mara kwa hiyo wanapaswa kupunguza matumizi ya pombe na kujua madhara yake na kuacha
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.
Soma Zaidi...