Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.
Mambo yanayoadhiri afya za wanaume.
1.Upigaji wa punyeto.
Hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba wanaume wengi kwa sababu wanapoanza kupiga punyeto katika umri mdogo wakifikiwa wakati wa kuoa hali hii Usababisha nguvu za kiume kupungua na kufanya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa hiyo wanawake uweza kuwadharau na kuwaona hawafai hali inayosababisha wanaume kuishi pasipo kujiamini.
2. Kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.
Kuna wanaume ambao siku zote utumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambapo wakizitumia mda mrefu ufikia kipindi cha kufanya uume ushindwe kusimama kwa mda mrefu na kusababisha kufaulu vizuri tendo la ndoa hali hii uwafanya wanaume wajisikie vibaya wakiwa na wake zao .
3. Magonjwa sugu.
Mara nyingi wanaume Upata Magonjwa sugu ambayo uwafanya wakose raha kwa sababu kwa mara nyingine wanakosa huduma kutoka kwa wenzio wao hasa kama wana familia zaidi ya moja, Magonjwa haya ni kama presha, kisukari,ngili tezi dume.
4. Vyakula vya mafuta.
Kwa kutumia vyakula vingi vya mafuta ufanya kuziba mishipa ya damu na kwa hiyo damu ushindwa kufikia kwenye uume kwa hiyo baba anaweza kushindwa kubebesha mimba.
5. Msongo wa mawazo.
Kwa wakati mwingine kuna wanaume wanakuwa na msongamano wa mawazo hasa pale wakiwa wazee na kukosa ela na pale pengine utengwa na familia kwa hiyo hali uifanya afya ya Wanaume kuwa mbaya na kudhorota kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa wazee wanapaswa kutunzwa vizuri.
6. Ulevi na uvutaji sigara.
Kuna wazee wengine wenye tabia ya kuvuta sigara na kunywa pombe mara kwa mara kwa hiyo wanapaswa kupunguza matumizi ya pombe na kujua madhara yake na kuacha
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona
Soma Zaidi...