Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.
Mambo yanayoadhiri afya za wanaume.
1.Upigaji wa punyeto.
Hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba wanaume wengi kwa sababu wanapoanza kupiga punyeto katika umri mdogo wakifikiwa wakati wa kuoa hali hii Usababisha nguvu za kiume kupungua na kufanya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa hiyo wanawake uweza kuwadharau na kuwaona hawafai hali inayosababisha wanaume kuishi pasipo kujiamini.
2. Kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.
Kuna wanaume ambao siku zote utumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambapo wakizitumia mda mrefu ufikia kipindi cha kufanya uume ushindwe kusimama kwa mda mrefu na kusababisha kufaulu vizuri tendo la ndoa hali hii uwafanya wanaume wajisikie vibaya wakiwa na wake zao .
3. Magonjwa sugu.
Mara nyingi wanaume Upata Magonjwa sugu ambayo uwafanya wakose raha kwa sababu kwa mara nyingine wanakosa huduma kutoka kwa wenzio wao hasa kama wana familia zaidi ya moja, Magonjwa haya ni kama presha, kisukari,ngili tezi dume.
4. Vyakula vya mafuta.
Kwa kutumia vyakula vingi vya mafuta ufanya kuziba mishipa ya damu na kwa hiyo damu ushindwa kufikia kwenye uume kwa hiyo baba anaweza kushindwa kubebesha mimba.
5. Msongo wa mawazo.
Kwa wakati mwingine kuna wanaume wanakuwa na msongamano wa mawazo hasa pale wakiwa wazee na kukosa ela na pale pengine utengwa na familia kwa hiyo hali uifanya afya ya Wanaume kuwa mbaya na kudhorota kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa wazee wanapaswa kutunzwa vizuri.
6. Ulevi na uvutaji sigara.
Kuna wazee wengine wenye tabia ya kuvuta sigara na kunywa pombe mara kwa mara kwa hiyo wanapaswa kupunguza matumizi ya pombe na kujua madhara yake na kuacha
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Soma Zaidi...Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.
Soma Zaidi...