picha

SHARTI ZA KUWAJIBIKA KWA ZAKA

SHARTI ZA KUWAJIBIKA KWA ZAKA

Shuruti za Kuwajibika Kutolewa Zaka ya wanyama

Shuruti za kuwajibika kuwatolea Zaka wanyamahoa ni sita, nazo ni:

  1. Uislam.
  2. *Huria (si aliomilikiwa).
  3. Kumiliki kaamili (kumiliki kihalali).
  4. Kutimia kiwango.
  5. Kupitiwa na mwaka.
  6. Kulishiwa machungani.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2151

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Swala ya tahiyatul masjidi yaani maamkizi ya msikitini, pamoja na swala za qabliya na baadiya

Post hii inakwenda kukujuza kuhusu swala za qabliya, baadiya na tahiyatul masjid.

Soma Zaidi...
Kuwapa wanaostahiki

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...