Mwenendo wa Mtu aliyetoa Shahada

Mwenendo wa Mtu aliyetoa Shahada

Muislamu aliyetoa shahada ya kweli hanabudi kumfanya Mtume (s.

Download Post hii hapa

Mwenendo wa Mtu aliyetoa Shahada

Mwenendo wa Mtu aliyetoa Shahada


Muislamu aliyetoa shahada ya kweli hanabudi kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa kiigizo chake kimwenendo na kitabia. Mtume (s.a.w) alikuwa na tabia njema kabisa kama tunavyofahamishwa katika Qur’an:


“Na bila shaka (Wewe Muhammad) una tabia njema kabisa.” (68:4)


Mtume (s.a.w) mwenyewe amewahimiza waumini kujipamba na tabia njema kama tunavyojifunza katika Hadithi zifuatazo:


Abdullah bin Amr (r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema: “Aliye kipenzi changu kuliko wote katika nyinyi (Wa is lam u) ni yule aliyew azidi kwa tabia njema”. (Bukhari)


Harithat bin Wahab (r.a) ameeleza kuwa Mtume w a Allah amesema: “Yule ambaye tabia yake ni mbaya na katili, hataingia Peponi”. (Abu Daud)


Abu Hurairah (r.a) ameeleza kuw a Mtume w a Allah amesema: “Mw enye imani iliyopea katika Waislamu ni yule mwenye tabia njema, na aliye mbora katika nyinyi ni yule anayemtendea wema mkewe”. (Tirmidh)


Abu Darda (r.a) amesimulia kuwa Mtume (s.a.w) amesema: “Hapana kitu kitakachotia uzito katika m izani ya Muum ini katika siku ya hukum u kuliko tabia njema...” (Tirmidh)


Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume (s.a.w) aliulizwa juu ya mambo yatakayopelekea watu wengi kuingia Peponi. Alijibu Mtume: “Uchaji - Mungu na tabia njema”. Kisha akaulizwa tena: “Ni mambo yepi yatakayompelekea m tu kuingizw a Motoni? ” Alijibu Mtum e, “Mdom o n a tup u (viungo vy a s iri)”. (Tirm idh)


Hivyo, muumini wa kweli hanabudi kujipamba na vipengele vya tabia njema vilivyoainishwa katika Qur-an na Sunnah. Katika juzuu hii


 


tumerejea vipengele vya tabia njema vifuatavyo:




                   


Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1422

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana: