Wanaorithi katika wanaume na wanawake na kiwango wanachorithi
Wanaume wenye kurithi ni kumi na tano (15)
I .Mtoto mwanamume.
2.Mtoto mwanamume wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3. Baba.
4.Babu wa kwa baba.
5.Ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.6.Ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
7.Ndugu mwanamume wa kwa mama tu.
8.Mtoto mwanamume wa kwa ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.
9.Mtoto mwanamume wa ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
I 0.Ami (baba mdogo) wa kwa baba na mama (ndugu yake baba na mama).
11.Ami wa kwa baba tu.
12. Mtoto mwanamume wa Ami wa kwa baba na mama.
13.Kijana mwanamume waAmi wa kwa baba.
14.Mume.
15.Bwana mwenye kumwacha mtumwa huru.
Wanawake wenye kurithi ni kumi (10)
1.Binti (mtoto wa kike).
2.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3.Mama.
4.Dada wa kwa baba na mama.
5.Dada wa kwa baba.
6.Dada wa kwa mama. 7.Bibi mzaa baba.
8.Bibi mzaa mama.
9. Mke.
10.Bibi mwenye kuacha mtumwa huru.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 ai web app 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Kusimamisha swala za Sunnah
Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kumswalia maiti, masharti ya swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r.
Soma Zaidi...Faida za kuswali swala za sunnah
Posti hii inakwenda kukufundisha kuhush swala za sunnah.
Soma Zaidi...Njia za kujitwaharisha, na vitu vinavyotumika kujitwaharisha
Post hii inakwenda kukufundisha njia zinazotumika kujitwaharisha.
Soma Zaidi...