NAMNA ZA ZAKA (AINA NA MGAWANYIKO WA ZAKA) ZAKA IPO MAKUNDI MANGAPI?

NAMNA ZA ZAKA (AINA NA MGAWANYIKO WA ZAKA) ZAKA IPO MAKUNDI MANGAPI?

Namna za Zaka

Zaka ni namna mbili:

Ya Kwanza, Zaka yenye kukhusu kiwiliwili, nayo ni Zakatu-l-fitri.

Ya Pili, Zaka yenye kukhusu mali, kama vile wanyamahoa, vitu vya thamani - dhahabu na fedha, Zaka ya mazao na matunda, na Zaka ya mali ya biashara.

Nyamahoa - nao ni ngamia, n'gombe kondoo/mbuzi; wote hawa ni waajibu kutolewa Zaka kama walivyokubaliana wanazuoni. Sababu ya kukhusishwa wanyama hawa kutolewa Zaka na si wengineo ni kwa vile kuweko kwao kwa wingi na kukua kwa kuzaliana kwa wingi, na kwa wingi wa manufaa walionayo khasa katika kuliwa; na asili ya hali ni vile kutowajibika kutolewa Zaka wasiokuwa wanyama hawa.


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1876

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 web hosting    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Namna lengo la zakat linavyofikiwa

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maana ya talaka na kuacha ama kuachwa

Maana ya TalakaTalaka ni utaratibu wa kuvunja mkataba wa ndoa waliofunga mume na mke wakati wa kufunga ndoa mbele ya mashahidi wawili.

Soma Zaidi...
Ni upi umuhimu wa kufunga katika uislamu

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kufunga kiroho, kiafya na kijamii.

Soma Zaidi...
Namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
NI ZIPI SWALA ZA SUNNAH: (qabliya (kabliya) na baadiya, tahajudi, tarawehe, qiyamu layl, shukr, istikhara)

Sunnah za SwalaSunnah za Swala Vipengele vya sunnah katika swala ni vile ambavyo mwenye kuswali akivitenda husaidia sana kukuza daraja ya swala yake na kuipa nguvu na msukumo mkubwa wa kuiwezesha kufikia lengo lililokusudiwa kwa urahisi zaidi.

Soma Zaidi...