Zaka ni namna mbili:
Ya Kwanza, Zaka yenye kukhusu kiwiliwili, nayo ni Zakatu-l-fitri.
Ya Pili, Zaka yenye kukhusu mali, kama vile wanyamahoa, vitu vya thamani - dhahabu na fedha, Zaka ya mazao na matunda, na Zaka ya mali ya biashara.
Nyamahoa - nao ni ngamia, n'gombe kondoo/mbuzi; wote hawa ni waajibu kutolewa Zaka kama walivyokubaliana wanazuoni. Sababu ya kukhusishwa wanyama hawa kutolewa Zaka na si wengineo ni kwa vile kuweko kwao kwa wingi na kukua kwa kuzaliana kwa wingi, na kwa wingi wa manufaa walionayo khasa katika kuliwa; na asili ya hali ni vile kutowajibika kutolewa Zaka wasiokuwa wanyama hawa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Je unadhani ni kwa nini waislamu wanaelekea kibla, na jinsi gani utaweza kukipata kibla.
Soma Zaidi...Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu za kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Hizi ni sifa za ziada za mchumba katika uislamu. Sifa hizi wengi hawazijui ama hawazingatii.
Soma Zaidi...Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba.
Soma Zaidi...