Zaka ni namna mbili:
Ya Kwanza, Zaka yenye kukhusu kiwiliwili, nayo ni Zakatu-l-fitri.
Ya Pili, Zaka yenye kukhusu mali, kama vile wanyamahoa, vitu vya thamani - dhahabu na fedha, Zaka ya mazao na matunda, na Zaka ya mali ya biashara.
Nyamahoa - nao ni ngamia, n'gombe kondoo/mbuzi; wote hawa ni waajibu kutolewa Zaka kama walivyokubaliana wanazuoni. Sababu ya kukhusishwa wanyama hawa kutolewa Zaka na si wengineo ni kwa vile kuweko kwao kwa wingi na kukua kwa kuzaliana kwa wingi, na kwa wingi wa manufaa walionayo khasa katika kuliwa; na asili ya hali ni vile kutowajibika kutolewa Zaka wasiokuwa wanyama hawa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Talaka Kabla ya Jimai:Mwanamume au mwanamke anaweza kughairi na kuamua kuvunja ndoa mapema kabla ya kufanya tendo Ia ndoa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.
Soma Zaidi...Haya ni maandalizi anayofanyiwa mtu aliye katika kilevi cha kifo yaani sakaratul maut
Soma Zaidi...