WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki

WAKATI WA KUFUMBUKA.

palikuwemo na mti  mmoja uliyoitwa kwa jina la bwamahelu, mti huo ulikuwa mkubwa sana na ulisadikika kuwa Kuna mizimu ambayo usema ukweli hasa kwa mtu ambaye ni mwongo, na walikuwa na desturi kwamba wanaacha kula siku nzima na chakula kile wanakiwekea mizimu na wakikuta kimeliwa ni dalili wazi kwamba jambo walilokuwa wanahofia ni kweli ikiwa chakula kikikutwa ni kwamba jambo hilo sio la kweli,ila chakula hicho kililiwa na wazee hao endapo kama hawapendi mwenye tatizo ila kama wanampenda chakula walikikuta na kwa sababu kati ya watoto wa Mzee maganga Kuna mtoto alikuwa Bado anajifunza namna ya kuwahudumia mizimu kwa hiyo alijua kila kitu kilichokuwa kinaendelea na aliwajuza ndugu zake kinachoendelea.

 

Basi chakula kilipikwa vizuri na watu wote hawakuruhusiwa kula chochote wakiwa kwenye maandalizi ya kujua ukweli kuhusu mtoto John, basi na yule mtoto wa kiume aliyekuwa anajifunza namna ya kuwahudumia mizimu aliwaalika ndugu zake wawe makini Ili chakula kisiliwe wakiwa na na Nia za kumwokoa ndugu yao na pia kumwokoa mama yao, basi wale wazee walipoona kuwa nyama ni nzuri na zinavutia kwa macho wakazitamani Sana na kujiandaa kwa ajili ya kula, basi zilipowekwa wakaamua mtoto wa Mzee maganga aliyekuwa anajifunza kuhudumia mizimu atolewe wakdai kwamba ni kesi ya mama yake . Kwa sababu wazee walikuwa na nguo maalumu na sehemu hiyo illkuwa na giza Kuna mtoto mwingine wa Mzee maganga alivaa nguo za wazee bila kuonekana akaingia ndani ya mti penye chakula , wazee walipoonza kula na watu wapo huko nje wakidhani kwamba wazee wapo wanaongea na miungu kumbe wapo wanakula chakula.

 

Baada ya mda mrefu wazee walitoka na kwenda nje kwa mda wakidai kwamba miungu bado inakula na watu wakaendelea kusali, baada ya mda wale wazee warirudi kwenye pango na wakamwambia watu kwamba ni kweli John sio mtoto wa Mzee maganga na ndugu wakashangilia kwa sauti kubwa wakidai kwamba Mali alizonazo John anyanganywe,

Itaendelea

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1059

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.

Soma Zaidi...
Hadithi hii inahusu hasara za wivu na kutokuwa wazi

Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya tatu)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

Soma Zaidi...