Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.
UBUNIFU NI MOJA KATIKA MAMBO MUHIMU KATIKA TEHAMA.
Mwaka 1989 Alan Francis aliandika kitabu chake kilikuwa na kurasa 128. Kitabu hiki kilikuwa na kichwa cha habari kinachosema EVERY THING MEN KNOW ABOUT WOMEN. Kwa maana kuwa kila kitu ambacho wanaume wanaokunywa kuhusu wanawake.
Kitabu hiki kilieleza kuwa kinakwenda kuelezea kila kotubkuhusu wanawake, ikiwemo jinsi ya kuwaridhisha kitandani, jinsi ya kumvutia, jinsi ya kumuweka karibu na mengineyo.
Kitabubkinaeleza kuwa mwandishi amefanya tafiti kwa muda mwingi hivyo ameamua kuvujisha siri hizo .
Kitabu hiko kinauzwa kwa dola 6 Amazon. Kitu cha ajabu juu ya kitabu hiki kurasa zake zote zilikuwa tupu. Yaani hakukuwa na maandishi. Kwa maana kuwa eidha mwandishi anaamini kuwa wanaume hawajui chochote kuhusu wanawake ama ni kitabu kilichoandaliwa kwa ajili ya kufurahisha tu ama kuchekesha.
Lakini ukiachilia mbali kuwa kitabu hiki kitupu lakini kimekiwabkikinunuliwa sana kama zawadi kwa wapendanao ama kwa ajili ya siku ya kuzaliwa ama vinginevyo. Inasema kuwa watu wanaridhika kabisa kununua kurasa tupu.
Kwa nini nimeandika historia hii :
Ukoangalia hapo ni ubunifu ndio uliofanya kitabu kuendelea kuwa na soko. Ukiachilia mbali kuwa kitabu hakituongezei taaluma ama ujuzi wowote lakini kinatupa furaha. Kwa ubunifu wa mwandishi watu wapo radhi kununua kitabubkitupu kabisa.
Kwa mfano kama huu na sisi tukiwa wabunifu wa ujuzi mdogo wa Tehama ulio nao unaweza kukufokisha mbali anabkukuingizia kipato.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi.
Soma Zaidi...Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.
Soma Zaidi...