Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali
1. Hapo zamani za kale palikuwepo na mwehu mmoja maskini lakini pamoja na umaskini wake yule mwehu alikuwa mkarimu wa hali ya juu, kwa sababu kile kidogo alichokipata katika kuomba Aliwapatia wahitaji zaidi ya yeye kama vile walemavu na wanafunzi waliokuwa wanatoka shule.
2. Palikuwepo na mama mmoja tajiri ana kila kitu ila tatizo lake lilikuwa ni uchoyo kwa huyo mwehu alikuwa anakwenda kwa yule mama kuomba yule mama hakumpatia chakula kwa sababu ya halu yake ya umaskini Bali alimpatia kwa sababu yule mwehu alikuwa anapiga makelele iwapo hajapewa chochote, kwa hiyo Mama alikuwa anachukizwa sana na Ile tabia ya mwehu na maneno yake maana alipokuwa anamwomba yule mama alikuwa akisema ukitenda mema unajitendea mwenyewe ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe naomba mkate.
3. Basi yule mama kwa sababu ya kukelwa na yule mwehu, kwa hiyo mama aliandaa mkate akaweka sumu Ili kumuua yule mwehu, basi mwehu kama kawaida yake akisema ukitenda mema unajitendea mwenyewe ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe, basi yule mama akampatia mwehu mkate wenye Sumu, basi yule mwehu akashukuru sana akaondo basi njiani yule mwehu alikutana na watoto watatu f
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
Soma Zaidi...