picha

Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Faida ya majani ya mstafeli.

1. Majani ya mstafeli usaidia kutibu saratani ya damu.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia damu na ni mojawapo ya saratani ambayo uua mtu kwa mda mfupi kama hakuna matibabu ya haraka kwa hiyo tunapaswa kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kutibu tatizo hili.

 

2. Saratani ya matiti.

Kwa akina mama kuna tatizo kubwa la saratani ya aina hii yaani saratani ya matiti hasa kwa akina Mama ambao hawanyonyeshi upatwa sana na aina hiii ya saratani ya matiti kwa hiyo ni lazima kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kupunguza aina hii ya saratani.

 

3. Saratani ya mlango wa kizazi.

Ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia mlango wa kizazi hii saratani imewakumba akina mama wengi na kuweza kusababisha hata wengine kushindwa kupata watoto kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.

 

4. Saratani ya mapafu.

Hiii ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia sana mapafu na kuweza kusababisha matatizo katika kupumua kwa hiyo ni vizuri kutibu tatizo hili kwa kutumia majani ya mstafeli na mtu anaweza kupona kabisa na kurudia kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Saratani ya ini.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia inii kwa hiyo imo linaweza kushindwa kufanya kazi kwa hiyo ni lazima kabisa kutumia majani haya ya mstafeli ili kuweza kusaidia inn katika kufanya kazi yake vizuri ya kuchuja sumu.

 

6. Pia majani haya usaidia kwenye saratani ya mdomo.kuna wakati mwingine mdomo upatwa na matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutumia majani ya mstafeli ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa saratani ya mdomo.

 

7. Kuwepo kwa saratani ya ulimi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye ulimi na matibabu utolewa lakini matokeo hayawi mazuri kwa hiyo kunakuwepo na shida ya saratani kwenye ulimi.

 

8. Pia kuwepo kwa saratani ya kongosho.

Kwa wakati mwingine panakuwepo na matatizo mbalimbali kwenye kongosho kwa hiyo panakuwepo na matatizo kwenye ku control sukari hali inayosababisha kuwepo kwa saratani ya kongosho.

 

10. Pia saratani nyingine nyingi zinatibiwa na majani ya mstafeli kwa hiyo ni vizuri kabisa kabla ya kutumia unapaswa kupata matibabu kabisa na kugundua kama ni saratani kweli ndipo uweze kutumia dawa, usitumie dawa ya majani ya mstafeli bila vipimo kwaza, unapaswa kupima na baadae ndio utumie. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kuandaa dawa hiyo 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/12/Tuesday - 07:23:27 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 11652

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
magonjwa na lishe

DARASA LA AFYA MAGOJWA YANAYOHUSIANA NA VYAKULA 1.

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi

Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi.

Soma Zaidi...
Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee

Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari

Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...