Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Faida ya majani ya mstafeli.

1. Majani ya mstafeli usaidia kutibu saratani ya damu.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia damu na ni mojawapo ya saratani ambayo uua mtu kwa mda mfupi kama hakuna matibabu ya haraka kwa hiyo tunapaswa kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kutibu tatizo hili.

 

2. Saratani ya matiti.

Kwa akina mama kuna tatizo kubwa la saratani ya aina hii yaani saratani ya matiti hasa kwa akina Mama ambao hawanyonyeshi upatwa sana na aina hiii ya saratani ya matiti kwa hiyo ni lazima kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kupunguza aina hii ya saratani.

 

3. Saratani ya mlango wa kizazi.

Ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia mlango wa kizazi hii saratani imewakumba akina mama wengi na kuweza kusababisha hata wengine kushindwa kupata watoto kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.

 

4. Saratani ya mapafu.

Hiii ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia sana mapafu na kuweza kusababisha matatizo katika kupumua kwa hiyo ni vizuri kutibu tatizo hili kwa kutumia majani ya mstafeli na mtu anaweza kupona kabisa na kurudia kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Saratani ya ini.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia inii kwa hiyo imo linaweza kushindwa kufanya kazi kwa hiyo ni lazima kabisa kutumia majani haya ya mstafeli ili kuweza kusaidia inn katika kufanya kazi yake vizuri ya kuchuja sumu.

 

6. Pia majani haya usaidia kwenye saratani ya mdomo.kuna wakati mwingine mdomo upatwa na matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutumia majani ya mstafeli ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa saratani ya mdomo.

 

7. Kuwepo kwa saratani ya ulimi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye ulimi na matibabu utolewa lakini matokeo hayawi mazuri kwa hiyo kunakuwepo na shida ya saratani kwenye ulimi.

 

8. Pia kuwepo kwa saratani ya kongosho.

Kwa wakati mwingine panakuwepo na matatizo mbalimbali kwenye kongosho kwa hiyo panakuwepo na matatizo kwenye ku control sukari hali inayosababisha kuwepo kwa saratani ya kongosho.

 

10. Pia saratani nyingine nyingi zinatibiwa na majani ya mstafeli kwa hiyo ni vizuri kabisa kabla ya kutumia unapaswa kupata matibabu kabisa na kugundua kama ni saratani kweli ndipo uweze kutumia dawa, usitumie dawa ya majani ya mstafeli bila vipimo kwaza, unapaswa kupima na baadae ndio utumie. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kuandaa dawa hiyo 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 6965

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Vyakula vya vitamin B

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
Vyakula vya kupunguza presha ya kupanda

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda

Soma Zaidi...
Faida za kula bamia

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...