Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Faida ya majani ya mstafeli.

1. Majani ya mstafeli usaidia kutibu saratani ya damu.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia damu na ni mojawapo ya saratani ambayo uua mtu kwa mda mfupi kama hakuna matibabu ya haraka kwa hiyo tunapaswa kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kutibu tatizo hili.

 

2. Saratani ya matiti.

Kwa akina mama kuna tatizo kubwa la saratani ya aina hii yaani saratani ya matiti hasa kwa akina Mama ambao hawanyonyeshi upatwa sana na aina hiii ya saratani ya matiti kwa hiyo ni lazima kutumia majani ya mti wa mstafeli ili kuweza kupunguza aina hii ya saratani.

 

3. Saratani ya mlango wa kizazi.

Ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia mlango wa kizazi hii saratani imewakumba akina mama wengi na kuweza kusababisha hata wengine kushindwa kupata watoto kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.

 

4. Saratani ya mapafu.

Hiii ni mojawapo ya saratani ambayo ushambulia sana mapafu na kuweza kusababisha matatizo katika kupumua kwa hiyo ni vizuri kutibu tatizo hili kwa kutumia majani ya mstafeli na mtu anaweza kupona kabisa na kurudia kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Saratani ya ini.

Hii ni aina ya saratani ambayo ushambulia inii kwa hiyo imo linaweza kushindwa kufanya kazi kwa hiyo ni lazima kabisa kutumia majani haya ya mstafeli ili kuweza kusaidia inn katika kufanya kazi yake vizuri ya kuchuja sumu.

 

6. Pia majani haya usaidia kwenye saratani ya mdomo.kuna wakati mwingine mdomo upatwa na matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kutumia majani ya mstafeli ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa saratani ya mdomo.

 

7. Kuwepo kwa saratani ya ulimi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye ulimi na matibabu utolewa lakini matokeo hayawi mazuri kwa hiyo kunakuwepo na shida ya saratani kwenye ulimi.

 

8. Pia kuwepo kwa saratani ya kongosho.

Kwa wakati mwingine panakuwepo na matatizo mbalimbali kwenye kongosho kwa hiyo panakuwepo na matatizo kwenye ku control sukari hali inayosababisha kuwepo kwa saratani ya kongosho.

 

10. Pia saratani nyingine nyingi zinatibiwa na majani ya mstafeli kwa hiyo ni vizuri kabisa kabla ya kutumia unapaswa kupata matibabu kabisa na kugundua kama ni saratani kweli ndipo uweze kutumia dawa, usitumie dawa ya majani ya mstafeli bila vipimo kwaza, unapaswa kupima na baadae ndio utumie. Kwa hiyo kipindi kijacho nitafundisha namna ya kuandaa dawa hiyo 

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/12/Tuesday - 07:23:27 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3307

Post zifazofanana:-

Tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...

Faida za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...

Nguo zinazovaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi nguo za kuvaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake, hizi ni nguo ambazo wahudumu wa afya wanapaswa kuzivaa wakati wa upasuaji kwa ajili ya kuwakinga na Maambukizi kati ya wahudumu wa afya na wagonjwa pia Soma Zaidi...

Faida za kula fyulisi/peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach Soma Zaidi...

Faida za kula bamia
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini. Soma Zaidi...

Zijue sababu za kupoteza fahamu.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Tufaha (apple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha Soma Zaidi...

Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

Mafunzo yz database MySQL database somo la 12 (final)
Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database Soma Zaidi...

Niambie mwanya na pengo kwa kiingereza vinaitwaje?
Give inakuwa mwajima unaitwaje kwa kiingereza. Kama hilo haji base niambie pengo linaitwaje kwa kiingereza. Soma Zaidi...

Umuhimu wa uzazi wa mpango
Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa. Soma Zaidi...

Historia ya pango, aladini na kitabu
Soma Zaidi...