Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
. Faida za kiafya za Tangawizi
1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
5. Huimarisha afya ya moyo
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
10. Huzuia saratani
11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...