Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
. Faida za kiafya za Tangawizi
1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
5. Huimarisha afya ya moyo
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
10. Huzuia saratani
11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...