Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
. Faida za kiafya za Tangawizi
1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
5. Huimarisha afya ya moyo
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
10. Huzuia saratani
11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu.
Soma Zaidi...