Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
. Faida za kiafya za Tangawizi
1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
5. Huimarisha afya ya moyo
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
10. Huzuia saratani
11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...