Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
. Faida za kiafya za Tangawizi
1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
5. Huimarisha afya ya moyo
6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
10. Huzuia saratani
11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa/orange
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...