Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Faida za uyoga
1. Uyoga una virutubisho Kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma na calcium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa na vitamin D
2. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huboresha afya ya mifupa
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma na calcium kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...