Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Faida za uyoga
1. Uyoga una virutubisho Kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma na calcium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa na vitamin D
2. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huboresha afya ya mifupa
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma na calcium kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Post huu inakwenda kukupa orodha ya madini muhimu kwa ajili ya afya yako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...