picha

Faida za kiafya za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Faida za uyoga

1. Uyoga una virutubisho Kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma na calcium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa na vitamin D

2. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani

3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini

4. Huzuia kupata kisukari

5. Huboresha afya ya mifupa

6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma na calcium kwenye vyakula

7. Huimarisha mfumo wa kinga

8. Hushusha kiwango cha sukari mwilini

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2039

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kula tango

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mahindi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Faida za kula Tango

Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango

Soma Zaidi...