Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Faida za uyoga
1. Uyoga una virutubisho Kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma na calcium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa na vitamin D
2. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huboresha afya ya mifupa
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma na calcium kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...