Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Faida za uyoga
1. Uyoga una virutubisho Kama protini, wanga, sukari, fati, madini ya chuma na calcium pia uyoga una maji kwa kiasi kikubwa na vitamin D
2. Hupunguza athari za ugonjwa wa saratani
3. Hushusha cholesterol mbaya mwilini
4. Huzuia kupata kisukari
5. Huboresha afya ya mifupa
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma na calcium kwenye vyakula
7. Huimarisha mfumo wa kinga
8. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...