Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Faida za miwa
1. Husaidia katika kuipa miili yetu nguvu kwa haraka Sana
2. Husaidia kwa wenye tatzo la saratani hasa kwa wenye type 1 diabetes
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
4. Hulinda afya ya Figo
5. Huboresha kinga ya mwili
6. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula uwe katika hali ya usalama
7. Hulinda afya ya kucha
8. Huboresha afya ya meno na kuzuia meno kubenduka ama kuoza
9. Huboresha afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya
Soma Zaidi...