Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Faida za miwa
1. Husaidia katika kuipa miili yetu nguvu kwa haraka Sana
2. Husaidia kwa wenye tatzo la saratani hasa kwa wenye type 1 diabetes
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
4. Hulinda afya ya Figo
5. Huboresha kinga ya mwili
6. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula uwe katika hali ya usalama
7. Hulinda afya ya kucha
8. Huboresha afya ya meno na kuzuia meno kubenduka ama kuoza
9. Huboresha afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...