Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Faida za miwa
1. Husaidia katika kuipa miili yetu nguvu kwa haraka Sana
2. Husaidia kwa wenye tatzo la saratani hasa kwa wenye type 1 diabetes
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
4. Hulinda afya ya Figo
5. Huboresha kinga ya mwili
6. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula uwe katika hali ya usalama
7. Hulinda afya ya kucha
8. Huboresha afya ya meno na kuzuia meno kubenduka ama kuoza
9. Huboresha afya ya ngozi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Soma Zaidi...Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...