Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Faida za miwa
1. Husaidia katika kuipa miili yetu nguvu kwa haraka Sana
2. Husaidia kwa wenye tatzo la saratani hasa kwa wenye type 1 diabetes
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
4. Hulinda afya ya Figo
5. Huboresha kinga ya mwili
6. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula uwe katika hali ya usalama
7. Hulinda afya ya kucha
8. Huboresha afya ya meno na kuzuia meno kubenduka ama kuoza
9. Huboresha afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Soma Zaidi...