Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Hapo zamani ilifahamika kuwa chanzo cha vidonda vya tumbo ni vyakula. Lakini ukweli ni kuwa vyakula si chanzo cha vidonda vya tumbo ila vinaweza kufanya dalili za vidonda vya tumbo kuwa mbaya sana. Hata hivyo kuna vyakula vinapendelewa na ni salama kwa wenye vidonda vya tumbo. Makala hii inakwenda kukutajia vyakula ambavyo vinashauriwa kutumiwa na wenye vidonda vya tumbo:-
Vyakula vizuri kwa wenye vidoonda vya tumbo
1.Kabichi
2.Maziwa yaliyosindikwa
3.Maharagwe ya soya yaliyosindikwa
4.Jibini
5.Matango
6.Viazi vitamu
7.Vitunguu thaumu
8.Tangawizi
9.Nyegere na maepo
10.Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi.
11.Njegere
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.
Soma Zaidi...