Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Hapo zamani ilifahamika kuwa chanzo cha vidonda vya tumbo ni vyakula. Lakini ukweli ni kuwa vyakula si chanzo cha vidonda vya tumbo ila vinaweza kufanya dalili za vidonda vya tumbo kuwa mbaya sana. Hata hivyo kuna vyakula vinapendelewa na ni salama kwa wenye vidonda vya tumbo. Makala hii inakwenda kukutajia vyakula ambavyo vinashauriwa kutumiwa na wenye vidonda vya tumbo:-
Vyakula vizuri kwa wenye vidoonda vya tumbo
1.Kabichi
2.Maziwa yaliyosindikwa
3.Maharagwe ya soya yaliyosindikwa
4.Jibini
5.Matango
6.Viazi vitamu
7.Vitunguu thaumu
8.Tangawizi
9.Nyegere na maepo
10.Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi.
11.Njegere
Umeionaje Makala hii.. ?
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...