Faida za kiafya za viazi vitamu


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin


Faida za viazi vitamu

1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi

2. Husaidia kushusha presha ya damu

3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa

4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo

5.  Huboresha mfumo wa fahamu na seli

6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto

7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax

8. Huzuia tatizo la kukosa choo

9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani

10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi 

11. Huboresha mfumo wa kinga

12. Husaidia katika kupunguza uzito

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Faida za kiafya za spinachi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula samaki
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki Soma Zaidi...

image Upungufu wa protini na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...

image Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

image Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo? Soma Zaidi...