image

Faida za kiafya za viazi vitamu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin

Faida za viazi vitamu

1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi

2. Husaidia kushusha presha ya damu

3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa

4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo

5.  Huboresha mfumo wa fahamu na seli

6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto

7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax

8. Huzuia tatizo la kukosa choo

9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani

10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi 

11. Huboresha mfumo wa kinga

12. Husaidia katika kupunguza uzito

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2570


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Aina 20 za Vitamini, kazi zake, vyanzo vyeke na madhara ya upungufu wake
Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake. Soma Zaidi...

Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...

Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini
Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa Soma Zaidi...

Faida za muarobaini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tende
Soma Zaidi...

Asili ya vyakula vya madini ya zinki
Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki. Soma Zaidi...

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka Soma Zaidi...

VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Dalili za ukosefu wa madini ya iodini (goiter)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j Soma Zaidi...

Je ,mafua yanayojirudia Mara kwa Mara hasa wkati was baridi ,au vumbi likiingia puan chafya haziishi,Hilo nalo ni upungufu wa vitamin c?
Soma Zaidi...

Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi
Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi. Soma Zaidi...