Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Faida za viazi vitamu
1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
5. Huboresha mfumo wa fahamu na seli
6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Huboresha mfumo wa kinga
12. Husaidia katika kupunguza uzito
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...