Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Faida za viazi vitamu
1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
5. Huboresha mfumo wa fahamu na seli
6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Huboresha mfumo wa kinga
12. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...