Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Faida za viazi vitamu
1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
5. Huboresha mfumo wa fahamu na seli
6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Huboresha mfumo wa kinga
12. Husaidia katika kupunguza uzito
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...