Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Faida za viazi vitamu
1. Vina virutubisho Kama fati, wanga, protini, vitamini C na B6 pia madini ya chuma, zink, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi
2. Husaidia kushusha presha ya damu
3. Ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
5. Huboresha mfumo wa fahamu na seli
6. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
7. Hulinda afya ya ubongo katika kutunza kumbukumbu, kujifunza na kurelax
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika mapambano dhidi ya maradhi ya saratani
10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
11. Huboresha mfumo wa kinga
12. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...