picha

TIBA ASILI ZITOKANAZO NA VYAKULA

TIBA ASILI ZITOKANAZO NA VYAKULA

UTANGULIZI

"let food be thy medicine and medicine be thy food"

Haya ni maneno ya Kigiriki, kuhusu vyakula. maneno haya yanamaanisha "fanya chakula chako kiwe ni dawa na dawa yako iwe ni chakula chako. Maneno haya yanahamasisha 

matumizi ya vyakula kuwa ni dawa kwetu. Katika makala hii nitakwenda kukujuza baadhi tu ya vyakula na mboga ambazo ni dawa kwa maradhi yetu. Makala hii pia ipo kwenye kitabu chetu. Unaweza kukipata kitabu hiki bure kwenye maktaba yetu.

 

Makala hii i muendelezo wa makala zetu za afya kutoka kwenye kitabu cha matunda na mboga. Tunatarajia msomaji wetu utanufaika zaidi na makala hii.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1977

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 web hosting    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Vyakula vyenye protini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
Vyakula vya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake

kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...
Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili

Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.

Soma Zaidi...