Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
1.pamoja na kutumia njia mbalimbali za mazoezi ila kuna vyakula ambavyo ukivitumia unaweza kupunguza uzito vyakula vyenyewe ni kama tulivyoona.
2. Matumizi ya nyama za aina yoyote.
Yaani nyama ya ng'ombe, nguruwe,kuku na mbuzi hazina effects yoyote unaweza kutumia.
3. Samaki aina yoyote ile na matumizi ya mboga mboga za majani na matunda yasiyokuwa na sukari.
4. Matumizi ya karanga aina yoyote ile unaweza kutumia pamoja na siagi.
5. Mafuta ya mimea ila kwa kiwango kidogo.
6. Baadhi ya matunda yasiyo na sukari nyingi.
7. Bidhaa za mafuta zisizokuwa na sukari nyingi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...