Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
1.pamoja na kutumia njia mbalimbali za mazoezi ila kuna vyakula ambavyo ukivitumia unaweza kupunguza uzito vyakula vyenyewe ni kama tulivyoona.
2. Matumizi ya nyama za aina yoyote.
Yaani nyama ya ng'ombe, nguruwe,kuku na mbuzi hazina effects yoyote unaweza kutumia.
3. Samaki aina yoyote ile na matumizi ya mboga mboga za majani na matunda yasiyokuwa na sukari.
4. Matumizi ya karanga aina yoyote ile unaweza kutumia pamoja na siagi.
5. Mafuta ya mimea ila kwa kiwango kidogo.
6. Baadhi ya matunda yasiyo na sukari nyingi.
7. Bidhaa za mafuta zisizokuwa na sukari nyingi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...