image

Vyakula vya vitamini k na faida zake

Vyakula vya vitamini k na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI K

  1. Nyama
  2. Mayai
  3. Siagi
  4. Maziwa
  5. Mchicha
  6. Kabichi
  7. Spinachi
  8. Kisamvu
  9. Mapalachichi
  10. Zabibu
  11. Matunda mengine
  12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

  1. Husaidia katika kuganda kwa damu
  2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
  3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
  4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
  5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 768


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Asili ya Madini ya shaba
Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Chungwa
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...

Vyakula vya kupambana na saratani
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula zaituni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni Soma Zaidi...

Nanasi (pineapple)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula nanasi Soma Zaidi...

Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...

Faida za kula kachumbari
Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula ubuyu
Soma Zaidi...

Virutubisho vya mwili
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho Soma Zaidi...