Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Faida za kiafya za kula maboga
1. boga lina virutubisho kama vitamini A, C, E na B. pia kuna madini ya chuma, potassium na manganessium. Pia boga lini protini na fati.
2. Boga lin antioxidanti ambazo huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
3. Boga husaidia kuimarisha na kuboresha mfumo wa kinga
4. Husaidia kwa afya ya macho
5. Husaidia kupunguza uzito
6. Hupunguza athari ya kupata saratani
7. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
8. Boga husaidia kuboresha afya ya ngozi
9. Hupunguza kuganda kwa choo
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...