picha

Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Faida za kiafya za kula maboga

1. boga lina virutubisho kama vitamini A, C, E na B. pia kuna madini ya chuma, potassium na manganessium. Pia boga lini protini na fati.

2. Boga lin antioxidanti ambazo huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini

3. Boga husaidia kuimarisha na kuboresha mfumo wa kinga

4. Husaidia kwa afya ya macho

5. Husaidia kupunguza uzito

6. Hupunguza athari ya kupata saratani

7. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo

8. Boga husaidia kuboresha afya ya ngozi

9. Hupunguza kuganda kwa choo

?

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1889

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 web hosting     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno

Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Vitamini C Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Soma Zaidi...