Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Faida za kiafya za kula maboga
1. boga lina virutubisho kama vitamini A, C, E na B. pia kuna madini ya chuma, potassium na manganessium. Pia boga lini protini na fati.
2. Boga lin antioxidanti ambazo huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
3. Boga husaidia kuimarisha na kuboresha mfumo wa kinga
4. Husaidia kwa afya ya macho
5. Husaidia kupunguza uzito
6. Hupunguza athari ya kupata saratani
7. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
8. Boga husaidia kuboresha afya ya ngozi
9. Hupunguza kuganda kwa choo
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu saumu
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.
Soma Zaidi...