image

Faida za juice ya tende.

Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal

Faida za juice ya tende.

1. Kwanza kabisa juice ya tende usaidia kuongeza nguvu za kiume kwa sababu hili ni tatizo kubwa kwa hiyo wenye tatizo hili mnapaswa kuitumia.

 

2.pia usaidia usaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa, kuna wale ambao hata kwenye tendo wanakuwa hawaishi chochote kwa hiyo kwa kutumia juice ya tendo watafaidika sana.

 

3. Usaidia kwenye afya ya mama na mtoto, kwa kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye juice ya tende usaidia afya ya mama mjamzito na kichanga.

 

4. Pia juice hii usaidia sana kuondoa sumu mwilini hasa sumu za pombe kwa wale ambao wanakunywa pombe sana na kwa mda mrefu wanapaswa kutumia juisi hii.

 

5. Pia juice hii usaidia kukinga magonjwa hasa magonjwa ya kansa za tumbo na pia uzuia kuharisha .

 

6. Vilevile hii juice usaidia katika mchakato mzima wa mmeng'enyo wa chakula kwa sababu juice hii usaidia chakula kiweze kumengenywa vizuri.

 

7. Juice ya tende uondoa hatari ya kupata choo kigumu, ukosefu wa choo, kuwepo kwa gesi tumboni na matatizo kwenye upande wa choo.

 

8. Vilevile juice hii usaidia kuondoa uchovu, hasa hasa wakulima wengi vijijini wakitoka shambani mara moja utumia juice ya tende ili kuweza kuondoa uchovu wowote na kuendelea na shughuli zao za kawaida.

 

9. Usaidia mishipa kuweza kufanya kazi vizuri kwa hiyo kwa watumiaji wa juice ya tende wanaweza kuwa mna mzunguko mzuri wa damu kwa sababu juisi hii ufanya kazi kwenye mishipa ya damu.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 6639


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.
unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nanasi
Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia, sababu zake na dalili zzake
Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia Soma Zaidi...

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka Soma Zaidi...

Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...

Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi Soma Zaidi...

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tango
Soma Zaidi...

Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda. Soma Zaidi...

Faida za ukwaju (tamarind)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju Soma Zaidi...

FAIDA ZA MATUNDA MBALIMBALI
1. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu Soma Zaidi...