Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal
1. Kwanza kabisa juice ya tende usaidia kuongeza nguvu za kiume kwa sababu hili ni tatizo kubwa kwa hiyo wenye tatizo hili mnapaswa kuitumia.
2.pia usaidia usaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa, kuna wale ambao hata kwenye tendo wanakuwa hawaishi chochote kwa hiyo kwa kutumia juice ya tendo watafaidika sana.
3. Usaidia kwenye afya ya mama na mtoto, kwa kuwepo kwa virutubisho mbalimbali kwenye juice ya tende usaidia afya ya mama mjamzito na kichanga.
4. Pia juice hii usaidia sana kuondoa sumu mwilini hasa sumu za pombe kwa wale ambao wanakunywa pombe sana na kwa mda mrefu wanapaswa kutumia juisi hii.
5. Pia juice hii usaidia kukinga magonjwa hasa magonjwa ya kansa za tumbo na pia uzuia kuharisha .
6. Vilevile hii juice usaidia katika mchakato mzima wa mmeng'enyo wa chakula kwa sababu juice hii usaidia chakula kiweze kumengenywa vizuri.
7. Juice ya tende uondoa hatari ya kupata choo kigumu, ukosefu wa choo, kuwepo kwa gesi tumboni na matatizo kwenye upande wa choo.
8. Vilevile juice hii usaidia kuondoa uchovu, hasa hasa wakulima wengi vijijini wakitoka shambani mara moja utumia juice ya tende ili kuweza kuondoa uchovu wowote na kuendelea na shughuli zao za kawaida.
9. Usaidia mishipa kuweza kufanya kazi vizuri kwa hiyo kwa watumiaji wa juice ya tende wanaweza kuwa mna mzunguko mzuri wa damu kwa sababu juisi hii ufanya kazi kwenye mishipa ya damu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...