Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
1. Kunyonyesha kwa akina Mama usaidia kuzuia Kansa ya kizazi na Kansa ya matiti, kwa sababu kwenye matiti Kuna chemical nyingi ambazo usaidia kutengeneza maziwa kwa hiyo zikibaki bila kutumiwa na mtoto usababisha Kansa ya matiti kwa hiyo akina Mama ambao Hawanyonyeshi na hawana tatizo lolote wanapaswa kufanya hivyo pindi wanapojifungua Ili kuweza kuepukana na Kansa ya matiti ambayo inawakumba wazazi wengi kwa asilimia kubwa ni kwa sababu ya kushindwa kunyonyesha.
2. Pindi Mama anaponyonyesha mtoto wake anaweza kukaa kwa miezi sita ya mwanzoni bila kubeba mimba, kwa kawaida wale akina Mama wanaotumia mda mwingi kiwanyonyesha watoto wao Wana asilimia kubwa ya kutopata hedhi kwenye miezi yao ya mwanzoni na pia kutotumia aina yoyote ya uzazi wa mpango na hawabebi mimba kwa hiyo akina Mama wanapaswa kunyonyesha watoto wao sio chini ya mara nane kwa masaa Kumi na mawili.
3. Kunyonyesha usaidia kuwepo kwa uhusiano mzuri kati ya Mama na mtoto, kwa sababu wakati wa kunyonyesha ndipo Mtoto anaweza kumtambua Mama yake na kuwa na uhusiano mzuri, pia Mama anaweza kujua tabia ndogo ndogo za mtoto wake pindi anaponyonyesha. Kwa hiyo akina Mama wanapaswa kujitahidi kiwanyonyesha watoto wao kwa mda unapaswa.
4. Kunyonyesha tu baada ya kujifungua usaidia kuwepo kwa homoni ya oxytocin ambayo usaidia kuzuia kuvuja kwa damu, kwa hiyo Mama anapaswa kunyonyesha mtoto tu baada ya kujifungua na isizidi saa Moja kabla Mama hajapewa mtoto wake ili kunyonyesha mara tu anapozaliwa.
4. Pia kunyonyesha usaidia kuwepo kwa homoni ya oxytocin kutoka kwenye ubongo ambayo usaidia uterus ku contract tu baada ya Mama kujifungua.
5.Vile vile kunyonyesha usaidia maziwa ya Mama kuzalisha homoni ya lactation ambayo usaidia kuzalisha kwa maziwa.
6.kwa hiyo baada ya kujua faida za kunyonyesha akina Mama wanapaswa kukaa na watoto wao kwa mda wa kutosha pindi wanapojifungua Ili kuweza kuzingatia uhusiano mzuri kati ya Mama na mtoto, pia kupunguza kuwepo kwa kufuata kwa watoto bila mpangilio hali ambayo usababisha watoto kutokua vizuri kwa sababu ya kukosa lishe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...