Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif

Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama.

1. Kunyonyesha kwa akina Mama usaidia kuzuia Kansa ya kizazi na Kansa ya matiti, kwa sababu kwenye matiti Kuna chemical nyingi ambazo usaidia kutengeneza maziwa kwa hiyo zikibaki bila kutumiwa na mtoto usababisha Kansa ya matiti kwa hiyo akina Mama ambao Hawanyonyeshi na hawana tatizo lolote wanapaswa kufanya hivyo pindi wanapojifungua  Ili kuweza kuepukana na Kansa ya matiti ambayo inawakumba wazazi wengi kwa asilimia kubwa ni kwa sababu ya kushindwa kunyonyesha.

 

2. Pindi Mama anaponyonyesha mtoto wake anaweza kukaa kwa miezi sita ya mwanzoni bila kubeba mimba, kwa kawaida wale akina Mama wanaotumia mda mwingi kiwanyonyesha watoto wao Wana asilimia kubwa ya kutopata hedhi kwenye miezi yao ya mwanzoni na pia kutotumia aina yoyote ya uzazi wa mpango na hawabebi mimba kwa hiyo akina Mama wanapaswa kunyonyesha watoto wao sio chini ya mara nane kwa masaa Kumi na mawili.

 

3. Kunyonyesha usaidia kuwepo kwa uhusiano mzuri kati ya Mama na mtoto, kwa sababu wakati wa kunyonyesha ndipo Mtoto anaweza kumtambua Mama yake na kuwa na uhusiano mzuri, pia Mama anaweza kujua tabia ndogo ndogo za mtoto wake pindi anaponyonyesha. Kwa hiyo akina Mama wanapaswa kujitahidi kiwanyonyesha watoto wao kwa mda unapaswa.

 

4. Kunyonyesha tu baada ya kujifungua usaidia kuwepo kwa homoni ya oxytocin ambayo usaidia kuzuia kuvuja kwa damu, kwa hiyo Mama anapaswa kunyonyesha mtoto tu baada ya kujifungua na isizidi saa Moja kabla Mama hajapewa mtoto wake ili kunyonyesha mara tu anapozaliwa.

 

4. Pia kunyonyesha usaidia kuwepo kwa homoni ya oxytocin kutoka kwenye ubongo ambayo usaidia uterus ku contract tu baada ya Mama kujifungua.

 

5.Vile vile kunyonyesha usaidia maziwa ya Mama kuzalisha homoni ya lactation ambayo usaidia kuzalisha kwa maziwa.

 

6.kwa hiyo baada ya kujua faida za kunyonyesha akina Mama wanapaswa kukaa na watoto wao kwa mda wa kutosha pindi wanapojifungua Ili kuweza kuzingatia uhusiano mzuri kati ya Mama na mtoto, pia kupunguza kuwepo kwa kufuata kwa watoto bila mpangilio hali ambayo usababisha watoto kutokua vizuri kwa sababu ya kukosa lishe.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2165

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Siku za kupata ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.

Soma Zaidi...
Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...
anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu

Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa

Soma Zaidi...