Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Download Post hii hapa

DALILI ZA UPUNGUFU WA VITAMINI C

 

Makala hii inakwenda kukuletea dalili za upungufu wa vitamini c mwilini. Dalili hizo ni kama:-

 

 

1.Kupata ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)

 

2.Kutokwa na damu kwenye mafinzi

 

3.Mwili kushindwa kupambana na maambukizo ya mara kwa mara

 

4.Kuchelewa kupona kwa vidonda na majeraha

 

5.Kukauka na kukatika kwa nywele

 

6.Kupata majeraha na michubuko kwa urahisi

 

7.Kuvimba kwa mafinzi

 

8.Kutokwa na damu za pua

 

9.Kuongezeka kwa uzito

 

10.Ngozi kukauka na kupauka ama kufujaa kwa ngozi

 

11.Kuvimba kwa viungio na maumivu ya viungio

 

12.Udhaifu wa gamba gumu la meno.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 5043

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Malengo ya kutibu ukoma
Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi

Soma Zaidi...
Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya polio
Ratiba ya chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo

Soma Zaidi...
Faida za minyoo
Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...