image

Huduma kwa wasioona hedhi

Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.

Huduma kwa wasioona hedhi.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kubwa kila mtoto wa kikea anapaswa kuiona hedhi yake kwa mda mwafaka kwa kawaida huwa ni kuanzia miaka kumi na mbili na kwa wasioona ni kwa sababu ya vigezo mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia kama ifuatavyo.

 

2. Kuongea na mwenye tatizo kuhusu mtindo waka wa maisha, hasa kuhusu matumizi ya vyakula vya mafuta na pia kuhusu mawazo na stress kama anazo kama kuna vitu vya aina hiyo Mgonjwa anapaswa kuvipunguza ili aweze kuruhusu mwili kufanya kazi zake za kawaida na ataweza kupata hedhi.

 

3.Kuchukua vipimo ili kuangalia kama kuna uaribifu wowote kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye ovari, mrija wa kupitishia yai, kwenye mfuko wa uzazi, kwenye mlango wa kizazi na kama kuna shida yoyote tunapaswa kuifanyia kazi ili kumsaidia kuingia kwenye siku zake za mwezi.

 

4. Kumpatia vidonge vya uzazi wa mpango 

Kwa kumpatia mgonjwa vidonge vya uzazi wa mpango anaweza kufanya homoni zikaanza kufanya kazi kwa sababu vidonge hivi navyo vina homoni kama zile za kwenye mwili wa binadamu,

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kujua wazi kuwa kupima afya zetu mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi au uvimbe ambavyo vinaweza kusababisha kukosa kwa hedhi kwa hiyo tunapaswa kuwa na tabia hiyo maana upunguza matatizo ya ki afya





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 941


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Kutokwa maji yan seminal swhemu za siri kwa mwanamke nidalili ya ugojwa gan?
Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat Soma Zaidi...

Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua
Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic Soma Zaidi...

Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID
Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa. Soma Zaidi...

Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?
Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua Soma Zaidi...

Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake Soma Zaidi...

Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation
Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation). Soma Zaidi...

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Soma Zaidi...

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba
Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia Soma Zaidi...