Huduma kwa wasioona hedhi

Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.

Huduma kwa wasioona hedhi.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kubwa kila mtoto wa kikea anapaswa kuiona hedhi yake kwa mda mwafaka kwa kawaida huwa ni kuanzia miaka kumi na mbili na kwa wasioona ni kwa sababu ya vigezo mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia kama ifuatavyo.

 

2. Kuongea na mwenye tatizo kuhusu mtindo waka wa maisha, hasa kuhusu matumizi ya vyakula vya mafuta na pia kuhusu mawazo na stress kama anazo kama kuna vitu vya aina hiyo Mgonjwa anapaswa kuvipunguza ili aweze kuruhusu mwili kufanya kazi zake za kawaida na ataweza kupata hedhi.

 

3.Kuchukua vipimo ili kuangalia kama kuna uaribifu wowote kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye ovari, mrija wa kupitishia yai, kwenye mfuko wa uzazi, kwenye mlango wa kizazi na kama kuna shida yoyote tunapaswa kuifanyia kazi ili kumsaidia kuingia kwenye siku zake za mwezi.

 

4. Kumpatia vidonge vya uzazi wa mpango 

Kwa kumpatia mgonjwa vidonge vya uzazi wa mpango anaweza kufanya homoni zikaanza kufanya kazi kwa sababu vidonge hivi navyo vina homoni kama zile za kwenye mwili wa binadamu,

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kujua wazi kuwa kupima afya zetu mara kwa mara kuangalia kama kuna Maambukizi au uvimbe ambavyo vinaweza kusababisha kukosa kwa hedhi kwa hiyo tunapaswa kuwa na tabia hiyo maana upunguza matatizo ya ki afya

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1210

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...
je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali

Soma Zaidi...
Dalili za Maambukizi na Uvimbe katika mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi na uvimbe katika  mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga (PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...
maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimba

Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya hedhi

Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,&nbsp

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo

Soma Zaidi...