Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.
Uzazi wa mpango kwa kumwaga shahawa nje.
1.Tunajua wazi kuwa uzazi wa mpango ni hali ya wanafamilia kupanga namba ya watoto wanaowahitaji na kuwapatia distansi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine, kwa hiyo na kumwaga shahawa ni aina mojawapo ya uzazi wa mpango, kwa hiyo tutaona jinsi au Namna njia hii inayotumika.
2.Kumwaga nje manii. Kunahitajika ushirikiano mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke kwa sababu wakiwa kwenye tendo mwanaume huisi mbegu zinakuja uchomoa uume kutoka kwenye uke wa mama na kumwaga chini na kuendelea na shughuli zao,
3. Hii njia ni nzuri inapotumika kwa wapenzi na kwa uaminifu uweza kuzuia kuwepo kwa mimba kwa hiyo baba na Mama wanapaswa kuwa makini ili kusiwepo kwa mimba zisizotarajiwa.
4.Pamoja na hayo hii njia haiwezi kuzuia magonjwahiyo yayzinaa na ukimwi kwa hiyo ni lazima wapenzi kupima mara nying i kuwakinga wajawazito dhidi ya magonjwa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.
Soma Zaidi...Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni.
Soma Zaidi...