Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.
Uzazi wa mpango kwa kumwaga shahawa nje.
1.Tunajua wazi kuwa uzazi wa mpango ni hali ya wanafamilia kupanga namba ya watoto wanaowahitaji na kuwapatia distansi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine, kwa hiyo na kumwaga shahawa ni aina mojawapo ya uzazi wa mpango, kwa hiyo tutaona jinsi au Namna njia hii inayotumika.
2.Kumwaga nje manii. Kunahitajika ushirikiano mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke kwa sababu wakiwa kwenye tendo mwanaume huisi mbegu zinakuja uchomoa uume kutoka kwenye uke wa mama na kumwaga chini na kuendelea na shughuli zao,
3. Hii njia ni nzuri inapotumika kwa wapenzi na kwa uaminifu uweza kuzuia kuwepo kwa mimba kwa hiyo baba na Mama wanapaswa kuwa makini ili kusiwepo kwa mimba zisizotarajiwa.
4.Pamoja na hayo hii njia haiwezi kuzuia magonjwahiyo yayzinaa na ukimwi kwa hiyo ni lazima wapenzi kupima mara nying i kuwakinga wajawazito dhidi ya magonjwa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Soma Zaidi...