Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.
Uzazi wa mpango kwa kumwaga shahawa nje.
1.Tunajua wazi kuwa uzazi wa mpango ni hali ya wanafamilia kupanga namba ya watoto wanaowahitaji na kuwapatia distansi kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine, kwa hiyo na kumwaga shahawa ni aina mojawapo ya uzazi wa mpango, kwa hiyo tutaona jinsi au Namna njia hii inayotumika.
2.Kumwaga nje manii. Kunahitajika ushirikiano mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke kwa sababu wakiwa kwenye tendo mwanaume huisi mbegu zinakuja uchomoa uume kutoka kwenye uke wa mama na kumwaga chini na kuendelea na shughuli zao,
3. Hii njia ni nzuri inapotumika kwa wapenzi na kwa uaminifu uweza kuzuia kuwepo kwa mimba kwa hiyo baba na Mama wanapaswa kuwa makini ili kusiwepo kwa mimba zisizotarajiwa.
4.Pamoja na hayo hii njia haiwezi kuzuia magonjwahiyo yayzinaa na ukimwi kwa hiyo ni lazima wapenzi kupima mara nying i kuwakinga wajawazito dhidi ya magonjwa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
Soma Zaidi...