Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kuamini Vitabu Vya Mwenyezi Mungu (s.w)
- Vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyotajwa ndani ya Qur’an ni;
- Suhufi – aliteremshiwa Nabii Ibrahim (a.s) na Nabii Musa (a.s).
- Taurat – aliyoteremshiwa Nabii Musa (a.s)
- Zaburi – aliyoteremshiwa Nabii Daud (a.s)
- Injili – aliyoteremshiwa Nabii Isa (a.s) na
- Qur’an – aliyoteremshiwa Nabii au Mtume Muhammad (s.a.w).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Madrasa kiganjani π2 Kitabu cha Afya π3 Dua za Mitume na Manabii π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 kitabu cha Simulizi π6 Bongolite - Game zone - Play free game
π1 Madrasa kiganjani π2 Kitabu cha Afya π3 Dua za Mitume na Manabii π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 kitabu cha Simulizi π6 Bongolite - Game zone - Play free game