Tofauti kati ya fiqh na sheria

Tofauti kati ya fiqh na sheria

Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.

Download Post hii hapa

Sheria:  Maana yake ni ufunuo juu ya mambo mbali mbali, uliomo ndani ya Qur’an na Hadith (Sunnah) za Mtume (s.a.w).

 

Fiqh:  Maana yake ni fani (elimu) ya ufafanuzi wa sheria juu ya mas’ala mbali mbali yasiyokuwa wazi katika utekelezaji wake.

Rejea Qur’an (45:18).

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2913

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana: