Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.
Sheria: Maana yake ni ufunuo juu ya mambo mbali mbali, uliomo ndani ya Qur’an na Hadith (Sunnah) za Mtume (s.a.w).
Fiqh: Maana yake ni fani (elimu) ya ufafanuzi wa sheria juu ya mas’ala mbali mbali yasiyokuwa wazi katika utekelezaji wake.
Rejea Qur’an (45:18).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kuingizwa au Kutolewa EdaKatika sheria ya Kiislamu hapana suala Ia kuingizwa au kutolewa eda na Sheikh.
Soma Zaidi...Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukuelezea sifa za kuwa maamuma na taratibu za kumfuata imamu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha njia zinazotumika kujitwaharisha.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...