Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.
Sheria: Maana yake ni ufunuo juu ya mambo mbali mbali, uliomo ndani ya Qur’an na Hadith (Sunnah) za Mtume (s.a.w).
Fiqh: Maana yake ni fani (elimu) ya ufafanuzi wa sheria juu ya mas’ala mbali mbali yasiyokuwa wazi katika utekelezaji wake.
Rejea Qur’an (45:18).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Maana ya TalakaTalaka ni utaratibu wa kuvunja mkataba wa ndoa waliofunga mume na mke wakati wa kufunga ndoa mbele ya mashahidi wawili.
Soma Zaidi...- Je, Ukeweza, (ndoa ya mke zaidi ya mmoja) humdhalilisha mwanamke?
Soma Zaidi...Hapa utajifunza jinsi ya kuozesha hatuwa kwa hatuwa. Pia utajifunza masharti ya kuoa na masharti ya kuolewa.
Soma Zaidi...(c) Hifadhi ya Mwanamke na Maadili ya JamiiKimaumbile wanaadam kama walivyo wanyama, wamejaaliwa kuwa na mvuto wa kimapenzi kati ya mume na mke ili kuwawezesha kutekeleza wajibu mkubwa wa kuzaana na kuendeleza kizazi.
Soma Zaidi...