Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
SURA YA KUMI
MADD-Madd-Twab'iy
MADD
Katika hukmu ya Tajwiyd ni urefushaji au uongezaji wa sauti, kwa maana kuivuta sauti ya herufi wakati inapokutana na moja ya herufi za madd kuifanya iwe ndefu.
Herufi za madd ni tatu:
ุง โข Alif saakinah iliyotanguliwa na fat-hah: ููุงูู
ู โข Yaa saakinah iliyotanguliwa na kasrah: ููููู
ู โข Waaw saakinah iliyotanguliwa na dhwammah: ููููููู
Madd imegawanyika sehemu mbili kuu:
ุงููู
ูุฏูู ุงูุทูุจููุนู โข Al-Maddutw-Twabiyโiy pia huitwa: ุงููู
ุฏู ุงูุฃุตููู - Al-Maddul-Aswliy
ุงููู
ูุฏู ุงููููุฑูุนู โข - Al-Maddul-Far-โiy
1.Maddu-twabiyโy
Hii ni madd ya asili ambayo madd zote zimepatikana kutoka hapa. Maddd hii ni ya haraka 2 na haijuzu kuzipunguza wala kuzizidisha na ni makosa kufanya vinginevyo. Madd hii itavutwa katika hali zote ima katika hali ya kuunganisha maneno au katika hali ya kusimama. Ili itokee madd hii haihitaji sababu zingine ila ni asili ya neno tu ni lazima liwe na madd hiyo.
Halikadhalika madd hii kuna maeneo saba ambayo haipatikani wakati wa kuunga maneno ila itapatikana tu pale msomaji anaposimama. Na sehemu hizi zipo saba tu na zinapatikana kwa kuwepo alif na hii huitwa jina la ุงูููุงุช ุงูุณุจุน (Alifaatus-Sab-โiy - Alif Saba).
(maddutw-twabiyโiy) nyinginezo ni:
ู
ูุฏูู ุงูุตูููููุฉู ุงูุตููุบูุฑู . 1 - Maddusw-Swillatis-Sughraa
2 ู
ูุฏูู ุงููุนูููุถู . - Maddul-โIwadhw
ู
ูุฏูู ุงููุจูุฏูู . 3 โ Maddul-Badl
ู
ูุฏูู ุงูุชููู
ููููู . 4 โ Maddut-Tamkiyn
ุฃููููุงุช ุญูููู ุทูููุฑ . 5 โ Alifaatu Hayyun Twahr
. 1 Maddusw-Swillatis-Sughraa:
Swillah ni kuunganisha herufi ya ู (haa) ya kiwakilishi1 na herufi ya madd yenye kunasibiyana na iโraab yake (dhwammah au kasrah) kitakapokuwa hicho kiwakilishi cha ู ni chenye iโraab na kipo baina ya herufi mbili zenye iโraab. Swillah hii imegawanyika sehemu mbili mojawapo ni hii ya assughraa (ndogo) na ya pili yake ni ya al-kubraa (kubwa) itakayokuja maelezo yake katika Maddul-Far-โiy.
Shart zake:
i) Kuweko na iโraab (sio sukuwn au herufi ya madd) kabla ya ู (haa)
ii) Kuweko na iโraab ifuatie katika neno la pili.
iii) Haifuatwi na hamzah.
Hukumu hii haizingatiwi katika maeneo mawili kwenye qurani. Aya hizi moja wapo huvutwa (Al-Furqaan (25: 69) ) ijapokuwa haina sifa za kuvutwa na nyingine haivutwi (Az-Zumar (39 : 7)) ijapokuwa ina sifa za kuvutwa. Na hii ni kutokana kuwa hivyo ndivyo inavyosomwa. Maeneo hayo ni haya;-
(Az-Zumar (39 : 7) Al-Furqaan (25: 69)
. 2 Maddul-Badal
Kanuni ya badal: ni kuja kwa hamzah mbili zenye kufuatana moja baada ya nyengine, ya kwanza ikawa na iโraab na ya pili ikawa saakin katika neno moja, hivyo hubadilishwa hamzah ya pili saakinah na kuwa herufi ya madd yenye kuwiana na iโraab ya hamzah ya kwanza. Hukmu yake ni kuvutwa harakah mbili.
Maddul-โIwadhw
Ni madd inayotokea wakati wa kusimama msomaji katika neno lenye fathataan (tanwiyn fat-hah). Hukmu yake ni huvutwa kwa harakah mbili. Kusimama kwenye ุฉ (taa marbuwtwah ya kike iliyofungwa) kunapelekea kutokuwepo hukmu hii ya ู
ูุฏูู ุงููุนูููุถ (maddul-โiwadhw) kwani wakati huo huondoka tanwiyn na kusimamiwa kwa ู (haa) saakinah.
4.Maddut-Tamkiyn
Ni madd inayotokea wakati ู mbili zimekutana, ya kwanza ina shaddah na kasrah na ya pili ina sukuwn. Imeitwa ู
ูุฏูู ุงูุชููู
ููููู kwa sababu inatamkwa ikiwa imethibitika kwa sababu ya shaddah. ู ya pili ambayo ina sukuwn inavutwa kwa harakah mbili.
5 - Alifaatu-Hayyin-Twahur
Ni ู
ูุฏู ุงูุทููุจููุนู (maddutw-twabiyโiy) inayotokana katika kutamkwa baadhi ya
ุงูุญุฑูู ุงูู
ุชูุงุทุนุฉ (Al-Huruwf Al-Mutaqatw-twaโah)1 zinazoanzia baadhi ya
Suwrah, kwa vile herufi hizo zinatamkwa kama herufi za hijaaiyah ุทุง ุญุง
ูุง ุฑุง . Nazo zimeundwa katika ibara ya ุญูู ุทูุฑ (hayyun twahur) kwa jina
jingine huitwa ุฃููููุงุชู ุญูููู ุทููู ุฑ (Alifaatu hayyin twahur).
Umeionaje Makala hii.. ?
Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran
Soma Zaidi...Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?
Soma Zaidi...ASBAB NUZUL SABABU ZA KUSHUKA AYA NA SURA KWENYE QURAN Quran imeteremka kwa muda wa miaka 23 kidogokido.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.
Soma Zaidi...Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni toka Mtume alipoamrishwa kulingana dini kwa uwazi.
Soma Zaidi...Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura ya 96 katika mpangilio wa Quran.
Soma Zaidi...Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.
Soma Zaidi...SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.
Soma Zaidi...