HUKUMU ZA MADD

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

HUKUMU ZA MADD

SURA YA KUMI
MADD-Madd-Twab'iy
MADD
Katika hukmu ya Tajwiyd ni urefushaji au uongezaji wa sauti, kwa maana kuivuta sauti ya herufi wakati inapokutana na moja ya herufi za madd kuifanya iwe ndefu.
Herufi za madd ni tatu:
ุง โ€ข Alif saakinah iliyotanguliwa na fat-hah: ู‚ูŽุงู„ูŽ
ูŠ โ€ข Yaa saakinah iliyotanguliwa na kasrah: ู‚ููŠู„ูŽ
ูˆ โ€ข Waaw saakinah iliyotanguliwa na dhwammah: ูŠูŽู‚ููˆู„ู

Madd imegawanyika sehemu mbili kuu:
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุทูŽุจููŠุนูŠ โ€ข Al-Maddutw-Twabiyโ€™iy pia huitwa: ุงู„ู’ู…ุฏู‘ ุงู„ุฃุตู’ู„ูŠ - Al-Maddul-Aswliy
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ู’ููŽุฑู’ุนูŠ โ€ข - Al-Maddul-Far-โ€™iy

1.Maddu-twabiyโ€™y
Hii ni madd ya asili ambayo madd zote zimepatikana kutoka hapa. Maddd hii ni ya haraka 2 na haijuzu kuzipunguza wala kuzizidisha na ni makosa kufanya vinginevyo. Madd hii itavutwa katika hali zote ima katika hali ya kuunganisha maneno au katika hali ya kusimama. Ili itokee madd hii haihitaji sababu zingine ila ni asili ya neno tu ni lazima liwe na madd hiyo.
MADD

Halikadhalika madd hii kuna maeneo saba ambayo haipatikani wakati wa kuunga maneno ila itapatikana tu pale msomaji anaposimama. Na sehemu hizi zipo saba tu na zinapatikana kwa kuwepo alif na hii huitwa jina la ุงู„ู’ูุงุช ุงู„ุณุจุน (Alifaatus-Sab-โ€˜iy - Alif Saba).
MADD

(maddutw-twabiyโ€™iy) nyinginezo ni:
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุตู‘ูู„ู‘ูŽุฉู ุงู„ุตู‘ูุบู’ุฑู‰ . 1 - Maddusw-Swillatis-Sughraa
2 ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ุนููˆูŽุถู . - Maddul-โ€˜Iwadhw
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ุจูŽุฏูŽู„ . 3 โ€“ Maddul-Badl
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุชู‘ูŽู…ู’ูƒููŠู† . 4 โ€“ Maddut-Tamkiyn
ุฃู„ูููŽุงุช ุญูŽูŠู‘ู ุทูŽู‡ู’ุฑ . 5 โ€“ Alifaatu Hayyun Twahr

. 1 Maddusw-Swillatis-Sughraa:
Swillah ni kuunganisha herufi ya ู‡ (haa) ya kiwakilishi1 na herufi ya madd yenye kunasibiyana na iโ€™raab yake (dhwammah au kasrah) kitakapokuwa hicho kiwakilishi cha ู‡ ni chenye iโ€™raab na kipo baina ya herufi mbili zenye iโ€™raab. Swillah hii imegawanyika sehemu mbili mojawapo ni hii ya assughraa (ndogo) na ya pili yake ni ya al-kubraa (kubwa) itakayokuja maelezo yake katika Maddul-Far-โ€™iy.
Shart zake:
i) Kuweko na iโ€™raab (sio sukuwn au herufi ya madd) kabla ya ู‡ (haa)
ii) Kuweko na iโ€™raab ifuatie katika neno la pili.
iii) Haifuatwi na hamzah.
MADD


Hukumu hii haizingatiwi katika maeneo mawili kwenye qurani. Aya hizi moja wapo huvutwa (Al-Furqaan (25: 69) ) ijapokuwa haina sifa za kuvutwa na nyingine haivutwi (Az-Zumar (39 : 7)) ijapokuwa ina sifa za kuvutwa. Na hii ni kutokana kuwa hivyo ndivyo inavyosomwa. Maeneo hayo ni haya;-
MADD

(Az-Zumar (39 : 7) Al-Furqaan (25: 69)

. 2 Maddul-Badal
Kanuni ya badal: ni kuja kwa hamzah mbili zenye kufuatana moja baada ya nyengine, ya kwanza ikawa na iโ€™raab na ya pili ikawa saakin katika neno moja, hivyo hubadilishwa hamzah ya pili saakinah na kuwa herufi ya madd yenye kuwiana na iโ€™raab ya hamzah ya kwanza. Hukmu yake ni kuvutwa harakah mbili.
MADD


Maddul-โ€˜Iwadhw
Ni madd inayotokea wakati wa kusimama msomaji katika neno lenye fathataan (tanwiyn fat-hah). Hukmu yake ni huvutwa kwa harakah mbili. Kusimama kwenye ุฉ (taa marbuwtwah ya kike iliyofungwa) kunapelekea kutokuwepo hukmu hii ya ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ุนููˆูŽุถ (maddul-โ€˜iwadhw) kwani wakati huo huondoka tanwiyn na kusimamiwa kwa ู‡ (haa) saakinah.

4.Maddut-Tamkiyn
Ni madd inayotokea wakati ูŠ mbili zimekutana, ya kwanza ina shaddah na kasrah na ya pili ina sukuwn. Imeitwa ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุชู‘ูŽู…ู’ูƒููŠู† kwa sababu inatamkwa ikiwa imethibitika kwa sababu ya shaddah. ูŠ ya pili ambayo ina sukuwn inavutwa kwa harakah mbili.
MADD


5 - Alifaatu-Hayyin-Twahur
Ni ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy) inayotokana katika kutamkwa baadhi ya ุงู„ุญุฑูˆู ุงู„ู…ุชู‚ุงุทุนุฉ (Al-Huruwf Al-Mutaqatw-twaโ€™ah)1 zinazoanzia baadhi ya
Suwrah, kwa vile herufi hizo zinatamkwa kama herufi za hijaaiyah ุทุง ุญุง
ู‡ุง ุฑุง . Nazo zimeundwa katika ibara ya ุญูŠู‘ ุทู‡ุฑ (hayyun twahur) kwa jina
jingine huitwa ุฃู„ูููŽุงุชู ุญูŽูŠู‘ู ุทูŽู‡ู ุฑ (Alifaatu hayyin twahur).
MADD


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 999

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sura za makkah na madinah

Quran (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Viraa saba na herufi saba katika usomaji wa quran

Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran

Soma Zaidi...
Fadhila za kusoma Quran na umuhimu wa kusoma Quran

Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?

Soma Zaidi...
ASBAB-NUZUL SABABU ZA KUSHUKA AYA NA SURA KWENYE QURAN

ASBAB NUZUL SABABU ZA KUSHUKA AYA NA SURA KWENYE QURAN Quran imeteremka kwa muda wa miaka 23 kidogokido.

Soma Zaidi...
Sababu za Quran kuwa mwongozo sahihi wa maisha ya mwanadamu

Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat al-Fiil

SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka sural Masad (tabat haraka)

Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni toka Mtume alipoamrishwa kulingana dini kwa uwazi.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al alaqa

Asbsb nuzul surat al alaqa, sababu za kushuka surat alaqa. Sura hii imeshuka Makka na ina aya 19. Ni sura ya 96 katika mpangilio wa Quran.

Soma Zaidi...
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w)

Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.

Soma Zaidi...
Sababu za kushushwa kwa surat al-kafirum

SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.

Soma Zaidi...