HUKUMU ZA MADD

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

HUKUMU ZA MADD

SURA YA KUMI
MADD-Madd-Twab'iy
MADD
Katika hukmu ya Tajwiyd ni urefushaji au uongezaji wa sauti, kwa maana kuivuta sauti ya herufi wakati inapokutana na moja ya herufi za madd kuifanya iwe ndefu.
Herufi za madd ni tatu:
' ' Alif saakinah iliyotanguliwa na fat-hah: '
' ' Yaa saakinah iliyotanguliwa na kasrah: '
' ' Waaw saakinah iliyotanguliwa na dhwammah: '

Madd imegawanyika sehemu mbili kuu:
' ' ' Al-Maddutw-Twabiy'iy pia huitwa: ' ' - Al-Maddul-Aswliy
' ' ' - Al-Maddul-Far-'iy

1.Maddu-twabiy'y
Hii ni madd ya asili ambayo madd zote zimepatikana kutoka hapa. Maddd hii ni ya haraka 2 na haijuzu kuzipunguza wala kuzizidisha na ni makosa kufanya vinginevyo. Madd hii itavutwa katika hali zote ima katika hali ya kuunganisha maneno au katika hali ya kusimama. Ili itokee madd hii haihitaji sababu zingine ila ni asili ya neno tu ni lazima liwe na madd hiyo.
MADD

Halikadhalika madd hii kuna maeneo saba ambayo haipatikani wakati wa kuunga maneno ila itapatikana tu pale msomaji anaposimama. Na sehemu hizi zipo saba tu na zinapatikana kwa kuwepo alif na hii huitwa jina la ' ' (Alifaatus-Sab-'iy - Alif Saba).
MADD

(maddutw-twabiy'iy) nyinginezo ni:
' ' ' . 1 - Maddusw-Swillatis-Sughraa
2 ' ' . - Maddul-'Iwadhw
' ' . 3 ' Maddul-Badl
' ' . 4 ' Maddut-Tamkiyn
' ' ' . 5 ' Alifaatu Hayyun Twahr

. 1 Maddusw-Swillatis-Sughraa:
Swillah ni kuunganisha herufi ya ' (haa) ya kiwakilishi1 na herufi ya madd yenye kunasibiyana na i'raab yake (dhwammah au kasrah) kitakapokuwa hicho kiwakilishi cha ' ni chenye i'raab na kipo baina ya herufi mbili zenye i'raab. Swillah hii imegawanyika sehemu mbili mojawapo ni hii ya assughraa (ndogo) na ya pili yake ni ya al-kubraa (kubwa) itakayokuja maelezo yake katika Maddul-Far-'iy.
Shart zake:
i) Kuweko na i'raab (sio sukuwn au herufi ya madd) kabla ya ' (haa)
ii) Kuweko na i'raab ifuatie katika neno la pili.
iii) Haifuatwi na hamzah.
MADD


Hukumu hii haizingatiwi katika maeneo mawili kwenye qurani. Aya hizi moja wapo huvutwa (Al-Furqaan (25: 69) ) ijapokuwa haina sifa za kuvutwa na nyingine haivutwi (Az-Zumar (39 : 7)) ijapokuwa ina sifa za kuvutwa. Na hii ni kutokana kuwa hivyo ndivyo inavyosomwa. Maeneo hayo ni haya;-
MADD

(Az-Zumar (39 : 7) Al-Furqaan (25: 69)

. 2 Maddul-Badal
Kanuni ya badal: ni kuja kwa hamzah mbili zenye kufuatana moja baada ya nyengine, ya kwanza ikawa na i'raab na ya pili ikawa saakin katika neno moja, hivyo hubadilishwa hamzah ya pili saakinah na kuwa herufi ya madd yenye kuwiana na i'raab ya hamzah ya kwanza. Hukmu yake ni kuvutwa harakah mbili.
MADD


Maddul-'Iwadhw
Ni madd inayotokea wakati wa kusimama msomaji katika neno lenye fathataan (tanwiyn fat-hah). Hukmu yake ni huvutwa kwa harakah mbili. Kusimama kwenye ' (taa marbuwtwah ya kike iliyofungwa) kunapelekea kutokuwepo hukmu hii ya ' ' (maddul-'iwadhw) kwani wakati huo huondoka tanwiyn na kusimamiwa kwa ' (haa) saakinah.

4.Maddut-Tamkiyn
Ni madd inayotokea wakati ' mbili zimekutana, ya kwanza ina shaddah na kasrah na ya pili ina sukuwn. Imeitwa ' ' kwa sababu inatamkwa ikiwa imethibitika kwa sababu ya shaddah. ' ya pili ambayo ina sukuwn inavutwa kwa harakah mbili.
MADD


5 - Alifaatu-Hayyin-Twahur
Ni ' ' (maddutw-twabiy'iy) inayotokana katika kutamkwa baadhi ya ' ' (Al-Huruwf Al-Mutaqatw-twa'ah)1 zinazoanzia baadhi ya
Suwrah, kwa vile herufi hizo zinatamkwa kama herufi za hijaaiyah ' '
' ' . Nazo zimeundwa katika ibara ya ' ' (hayyun twahur) kwa jina
jingine huitwa ' ' ' ' (Alifaatu hayyin twahur).
MADD


                   

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 166

Post zifazofanana:-

ADABU ZA KUOMBA DUA
ADABU ZA KUOMBA DUA. Soma Zaidi...

HISTORIA YA BI KHADIJA (HADIJA) MKE WA KWANZA WA MTUME MUHAMMAAD (S.A.W)
HISTORIA YA BI KHADIJABi Khadija jinalake halisi ni Khadija bint Khuwald bin Asab baba yake alikuwa ni mfanya biashara. Soma Zaidi...

THE WARNING SIGNS ON CONTAINERS OF LABORATORY CHEMICALS AND APPARATUS
THE WARNING SIGNS ON CONTAINERS OF LABORATORY CHEMICALS AND APPARATUS Warning signs these are symbols which indicates a possible danger, problem, or other unpleasant situation. Soma Zaidi...

UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU
Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne. Soma Zaidi...

HADITHI YA MJI ULOGEUZWA MAWE
Download kitabu Hiki Bofya hapa HDITHI YA MJI ULOGEUZWA MAWE. Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII ADAM
Soma Zaidi...

Nasaha za Lut(a.s) kwa Watu Wake
Nabii Lut(a. Soma Zaidi...

jamii somo la 34
Soma Zaidi...

KAZI ALIZOFANYA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KABLA YA UTUME
KAZI ALIZOKUWA AKIFANYA MUHAMMAD (S. Soma Zaidi...

BASIC CONCEPTS AND TERMINOLOGIES OF BIOLOGY
PART ONE: BASIC CONCEPTS AND TERMINOLOGIES OF BIOLOGY BIOLOGICAL CONCEPTS The term 'BIOLOGY' is derived from the two Greek words such as 'bios' which means life and 'logia' which means study of. Soma Zaidi...

Damu, majimaji na uteute unaotoka kwenye uke wa Mjamzito, sababu zake na dalili zake
Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya Soma Zaidi...

(xi)Hutoa Zakat na Sadakat
Waumini wa kweli waliofuzu hutoa Zakat wakiwa na mali na hutoa misaada na huduma waziwezazo kwa wanaadamu wenziwe kwa kadiri ya haja ilivyojitokeza. Soma Zaidi...